Uchaguzi 2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

Uchaguzi 2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

capacity 0GB

Member
Joined
Jul 6, 2020
Posts
43
Reaction score
52
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO

Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima?

Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam.
Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu muhimu katika taifa. Mabalozi wengi wanakaa jimbo la Kawe.

Vitengo muhimu kwa ustawi wa nchi viko kwenye jimbo la Kawe.

Kwa upande wa makazi pia, maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni, Bunju, Goba, Salasala, Madale yote haya yamejaa watu wa maisha ya kati na juu ambao wana mchango mkubwa katika taifa hili. Haimaanishi watu wengine sio muhimu, kila mtu ni muhimu kwa kiwango chake kulingana na nafasi aliyopo.

Kwa mtazamo huu, jimbo la Kawe tayari lina heshima. Jimbo la Kawe halikutakiwa kuwa jimbo la watu wanaolalamika kwa kukosa huduma muhimu kama barabara za ndani, hospitali na maji. Kawe ina heshima ndio maana wakazi wa huko wamekuwa wastaarabu sana kipindi hiki chote cha miaka 10.

Kwa heshima iliyonayo jimbo la Kawe, mwakilishi wake angekuwa ameweka mbele maslahi ya jimbo lake kwa kutanguliza hoja za wananchi na sio kulalamika bungeni na kugoma.

Yaani baada ya miaka 10 Mdee ndo amejua kuwa Kawe inahitaji heshima?

Heshima gani wakati watu hawana maji kule Ndumbwi?

Heshima gani wakati madaraja hayajaisha huko Boko? Mbezi Beach na Mbezi juu imejaa barabara za vumbi? Heshima gani hiyo?

Heshima gani wakati fedha za mfuko wa jimbo zimetafunwa?

Heshima gani wakati mwakilishi aliyechaguliwa na watu wa Kawe anaongoza migomo bungeni?

Watu wa Kawe wana heshima, ila kwa aliyoyafanya Mdee kwa miaka 10 amewadharau sana.

Watu wa Kawe msirudie makosa haya.
Mmemstahi sana huyu Mdee kwa miaka hii 10.

Safari hii mchague Askofu Gwajima mtu makini anayejua wanachohitaji wananchi wa Kawe.

Ni wakati wa kuachana na longo longo na kuchagua mtu jasiri, hodari, mchapakazi na mpenda maendeleo atakayeishawishi serikali kuleta maendeleo kwenye jimbo la Kawe.

Wanakawe achaneni na Mdee, hajawaheshimu miaka 10 yote hii, ataweza kwa miaka hii mitano (5)?

Mchague Gwajima kwa maendeleo ya Kawe na Magufuli kwa Maendeleo ya Tanzania atunze heshima mliyonayo.

Salum Kipanga
Mbezi - Mtoni,


IMG_20201008_131441.jpg
 
Mkuu yupo Juma juma humu, ana ID kama 7, atakuja na povu lake naye 😀 😀

Everyday is Saturday.............................😎
 
Kamchague aje aongoze familia yao huku usitupangie kabisaaaa yaani tena utulie kama maji ya mtungi usubiri october atakavyotimuliwa vumbi
 
Tapeli hawezi kupeleka maendeleo Kawe, na zaidi Kawe inastahili heshima, haiwezi kuongozwa na mcheza movie za ajabu ajabu.
Sio siri kabisa. Gwajima hana maadili kabisa ya kuwa kiongozi wa jamii. Hata familia yake haiwezi. Amemvunjia heshima mkewe na watoto, jimbo ataliweza? Amevunjia heshima Kanisa lake sembuse jimbo?

Alimvunjia Kadinali pengo heshima na kumtukana, akawavunjia heshima Waislamu kwa kutamka kuwa ana maono ya kugeuza misikiti kuwa vituo vya Sunday school.

Hii ni kashfa kwa Waislamu ambayo haiwezi kufumbiwa macho. Nakubali kuwa Kawe inahitaji heshima kwa kuwa kunaishi waheshimiwa na Halima Mdee ndiye pekee amedhihirisha kubeba dhamana hiyo.

Halima ni msomi wa sheria. Halima ni mwanamke ambaye anapohutubia mwenye akili yeyote atakubaliana na mantiki ya hotuba yake. Huwezi kumdharau.

Amejitambulisha katika jamii kama mwanamke kiongozi shupavu na mtetezi hodari wa kile anachokiamini. Alisimamishwa ubunge kwa kama nusu ya muhula mzima eti kwa sababu ya kusema tu bunge ni dhaifu. Alipigwa na kuvunjwa mkono kwa maonevu tu na reaction yake ikawa, no fear, no hate.

Akiwa mbunge wa Kawe wana Kawe watazidi kuheshimika.
Ni kweli kuwa Kase kama ilivyo majimbo yote inahitaji maendeleo. Maendeleo hayeletwi na mbunge bali serikali.
 
Tunahonga kura zetu kwa huyo mama, maendeleo tumejitafutia wenyewe
 
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO

Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima?

Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam.
Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu muhimu katika taifa. Mabalozi wengi wanakaa jimbo la Kawe.

Vitengo muhimu kwa ustawi wa nchi viko kwenye jimbo la Kawe.

Kwa upande wa makazi pia, maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni, Bunju, Goba, Salasala, Madale yote haya yamejaa watu wa maisha ya kati na juu ambao wana mchango mkubwa katika taifa hili. Haimaanishi watu wengine sio muhimu, kila mtu ni muhimu kwa kiwango chake kulingana na nafasi aliyopo.

Kwa mtazamo huu, jimbo la Kawe tayari lina heshima. Jimbo la Kawe halikutakiwa kuwa jimbo la watu wanaolalamika kwa kukosa huduma muhimu kama barabara za ndani, hospitali na maji. Kawe ina heshima ndio maana wakazi wa huko wamekuwa wastaarabu sana kipindi hiki chote cha miaka 10.

Kwa heshima iliyonayo jimbo la Kawe, mwakilishi wake angekuwa ameweka mbele maslahi ya jimbo lake kwa kutanguliza hoja za wananchi na sio kulalamika bungeni na kugoma.

Yaani baada ya miaka 10 Mdee ndo amejua kuwa Kawe inahitaji heshima?

Heshima gani wakati watu hawana maji kule Ndumbwi?

Heshima gani wakati madaraja hayajaisha huko Boko? Mbezi Beach na Mbezi juu imejaa barabara za vumbi? Heshima gani hiyo?

Heshima gani wakati fedha za mfuko wa jimbo zimetafunwa?

Heshima gani wakati mwakilishi aliyechaguliwa na watu wa Kawe anaongoza migomo bungeni?

Watu wa Kawe wana heshima, ila kwa aliyoyafanya Mdee kwa miaka 10 amewadharau sana.

Watu wa Kawe msirudie makosa haya.
Mmemstahi sana huyu Mdee kwa miaka hii 10.

Safari hii mchague Askofu Gwajima mtu makini anayejua wanachohitaji wananchi wa Kawe.

Ni wakati wa kuachana na longo longo na kuchagua mtu jasiri, hodari, mchapakazi na mpenda maendeleo atakayeishawishi serikali kuleta maendeleo kwenye jimbo la Kawe.

Wanakawe achaneni na Mdee, hajawaheshimu miaka 10 yote hii, ataweza kwa miaka hii mitano (5)?

Mchague Gwajima kwa maendeleo ya Kawe na Magufuli kwa Maendeleo ya Tanzania atunze heshima mliyonayo.

Salum Kipanga
Mbezi - Mtoni,


Halima mdee hafai tena Kawe maana hajafanya chochote kwa miaka kumi
 
..Mawaziri wanaishi hukohuko halafu maendeleo hayapelekwi?

..hapo ccm walihujumu maendeleo ili waje wamlaumu Halima Mdee.

..Na waliokuwa wakimfukuza na kumfungia Halima asihudhurie vikao si Spika na wabunge wa ccm?

..Je, mawaziri na viongozi wa ccm ambao wanawakilishwa na Halima Mdee walimtetea mbunge wao asifungiwe kuhudhuria vikao?
 
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO

Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima?

Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam.
Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu muhimu katika taifa. Mabalozi wengi wanakaa jimbo la Kawe.

Vitengo muhimu kwa ustawi wa nchi viko kwenye jimbo la Kawe.

Kwa upande wa makazi pia, maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni, Bunju, Goba, Salasala, Madale yote haya yamejaa watu wa maisha ya kati na juu ambao wana mchango mkubwa katika taifa hili. Haimaanishi watu wengine sio muhimu, kila mtu ni muhimu kwa kiwango chake kulingana na nafasi aliyopo.

Kwa mtazamo huu, jimbo la Kawe tayari lina heshima. Jimbo la Kawe halikutakiwa kuwa jimbo la watu wanaolalamika kwa kukosa huduma muhimu kama barabara za ndani, hospitali na maji. Kawe ina heshima ndio maana wakazi wa huko wamekuwa wastaarabu sana kipindi hiki chote cha miaka 10.

Kwa heshima iliyonayo jimbo la Kawe, mwakilishi wake angekuwa ameweka mbele maslahi ya jimbo lake kwa kutanguliza hoja za wananchi na sio kulalamika bungeni na kugoma.

Yaani baada ya miaka 10 Mdee ndo amejua kuwa Kawe inahitaji heshima?

Heshima gani wakati watu hawana maji kule Ndumbwi?

Heshima gani wakati madaraja hayajaisha huko Boko? Mbezi Beach na Mbezi juu imejaa barabara za vumbi? Heshima gani hiyo?

Heshima gani wakati fedha za mfuko wa jimbo zimetafunwa?

Heshima gani wakati mwakilishi aliyechaguliwa na watu wa Kawe anaongoza migomo bungeni?

Watu wa Kawe wana heshima, ila kwa aliyoyafanya Mdee kwa miaka 10 amewadharau sana.

Watu wa Kawe msirudie makosa haya.
Mmemstahi sana huyu Mdee kwa miaka hii 10.

Safari hii mchague Askofu Gwajima mtu makini anayejua wanachohitaji wananchi wa Kawe.

Ni wakati wa kuachana na longo longo na kuchagua mtu jasiri, hodari, mchapakazi na mpenda maendeleo atakayeishawishi serikali kuleta maendeleo kwenye jimbo la Kawe.

Wanakawe achaneni na Mdee, hajawaheshimu miaka 10 yote hii, ataweza kwa miaka hii mitano (5)?

Mchague Gwajima kwa maendeleo ya Kawe na Magufuli kwa Maendeleo ya Tanzania atunze heshima mliyonayo.

Salum Kipanga
Mbezi - Mtoni,


Lazima tumchague Gwajima maana wanaKawe tushachoka na kero tulizonazo kwa miaka mingi sasa imetosha tunataka maendeleo na mabadiliko
 
Binafsi nafurahishwa saana na Gwajima ,yaan CCM walitumia akili kumleta Gwajima kawe
 
Back
Top Bottom