Uchaguzi 2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

Uchaguzi 2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

Tapeli hawezi kupeleka maendeleo Kawe, na zaidi Kawe inastahili heshima, haiwezi kuongozwa na mcheza movie za ajabu ajabu.
Zaidi, kwa mujibu wa katiba ya nchi, Mbunge kupeleka wanajimbo nje ya nchi haitambuliki na haina tija.
 
Picha ya kutengeneza...
Hakuna.phd uchwara hiyo...wizara ya majj amefanya nini nzega hakuna maji kote huku ni balaa hata kijiji alikojenga nyumba yake Puge kwa kingagwala wala chembe chembe ya maji masafi hakuna...maji ya tope huko...
shida tupuuu amefanya nini...prof uchwara ..
Mastermind/strategist wa ccm 2020 mpya..…
Hiyo haihusiani hapa tunazungumzia Kawe we kima
 
..inaelekea hufahamu utaratibu wa matumizi ya fedha za mfuko wa maendeleo wa jimbo.

..mbunge na madiwani wanawajibika kuzipangia fedha matumizi kulingana na maombi ya wananchi na vipaumbele mbalimbali.

..baada ya kikao cha mbunge na madiwani kuamua fedha zitumike ktk mradi gani, au zigawiwe kwa kikundi gani, MKURUGENZI WA HALMASHAURI hutoa fedha hizo, na husimamia kuhakikisha zimetumika kwa malengo yaliyowekwa.

..Kwa hiyo kama fedha zimetumika vibaya, au hazikuwafikia walengwa, anayepaswa kulaumiwa ni MKURUGENZI na siyo mbunge. Utaratibu huo upo ktk majimbo yote hata yale yaliyochagua wabunge wa CCM.
Umesoma Ilani yake kweli wewe amesema ametekeleza vyote alivyoahdi nakutoa namna pesa alivyotumika sasa hapa nan muongo
 
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO

Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima?

Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam.
Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu muhimu katika taifa. Mabalozi wengi wanakaa jimbo la Kawe.

Vitengo muhimu kwa ustawi wa nchi viko kwenye jimbo la Kawe.

Kwa upande wa makazi pia, maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni, Bunju, Goba, Salasala, Madale yote haya yamejaa watu wa maisha ya kati na juu ambao wana mchango mkubwa katika taifa hili. Haimaanishi watu wengine sio muhimu, kila mtu ni muhimu kwa kiwango chake kulingana na nafasi aliyopo.

Kwa mtazamo huu, jimbo la Kawe tayari lina heshima. Jimbo la Kawe halikutakiwa kuwa jimbo la watu wanaolalamika kwa kukosa huduma muhimu kama barabara za ndani, hospitali na maji. Kawe ina heshima ndio maana wakazi wa huko wamekuwa wastaarabu sana kipindi hiki chote cha miaka 10.

Kwa heshima iliyonayo jimbo la Kawe, mwakilishi wake angekuwa ameweka mbele maslahi ya jimbo lake kwa kutanguliza hoja za wananchi na sio kulalamika bungeni na kugoma.

Yaani baada ya miaka 10 Mdee ndo amejua kuwa Kawe inahitaji heshima?

Heshima gani wakati watu hawana maji kule Ndumbwi?

Heshima gani wakati madaraja hayajaisha huko Boko? Mbezi Beach na Mbezi juu imejaa barabara za vumbi? Heshima gani hiyo?

Heshima gani wakati fedha za mfuko wa jimbo zimetafunwa?

Heshima gani wakati mwakilishi aliyechaguliwa na watu wa Kawe anaongoza migomo bungeni?

Watu wa Kawe wana heshima, ila kwa aliyoyafanya Mdee kwa miaka 10 amewadharau sana.

Watu wa Kawe msirudie makosa haya.
Mmemstahi sana huyu Mdee kwa miaka hii 10.

Safari hii mchague Askofu Gwajima mtu makini anayejua wanachohitaji wananchi wa Kawe.

Ni wakati wa kuachana na longo longo na kuchagua mtu jasiri, hodari, mchapakazi na mpenda maendeleo atakayeishawishi serikali kuleta maendeleo kwenye jimbo la Kawe.

Wanakawe achaneni na Mdee, hajawaheshimu miaka 10 yote hii, ataweza kwa miaka hii mitano (5)?

Mchague Gwajima kwa maendeleo ya Kawe na Magufuli kwa Maendeleo ya Tanzania atunze heshima mliyonayo.

Salum Kipanga
Mbezi - Mtoni,


Wanaojua Visiting day na fence za Kilakala Sec na pale Hostel za Forest Hill kwa Patel na Mr Dogo Enzi hizo watajua namaanisha nini.. #10 INATOSHA#
 
Umesoma Ilani yake kweli wewe amesema ametekeleza vyote alivyoahdi nakutoa namna pesa alivyotumika sasa hapa nan muongo

..maana yake Mh.HALIMA kama mbunge ametekeleza wajibu wake wa kuelekeza na kubainisha fedha za mfuko wa jimbo zielekezwe wapi.

..lakini fedha hizo ni za SERIKALI na hazipitii ktk mikono ya mbunge, bali zinapokelewa na kutunzwa na MKURUGENZI WA HALMASHAURI.
 
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO

Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima?

Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam.
Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu muhimu katika taifa. Mabalozi wengi wanakaa jimbo la Kawe.

Vitengo muhimu kwa ustawi wa nchi viko kwenye jimbo la Kawe.

Kwa upande wa makazi pia, maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni, Bunju, Goba, Salasala, Madale yote haya yamejaa watu wa maisha ya kati na juu ambao wana mchango mkubwa katika taifa hili. Haimaanishi watu wengine sio muhimu, kila mtu ni muhimu kwa kiwango chake kulingana na nafasi aliyopo.

Kwa mtazamo huu, jimbo la Kawe tayari lina heshima. Jimbo la Kawe halikutakiwa kuwa jimbo la watu wanaolalamika kwa kukosa huduma muhimu kama barabara za ndani, hospitali na maji. Kawe ina heshima ndio maana wakazi wa huko wamekuwa wastaarabu sana kipindi hiki chote cha miaka 10.

Kwa heshima iliyonayo jimbo la Kawe, mwakilishi wake angekuwa ameweka mbele maslahi ya jimbo lake kwa kutanguliza hoja za wananchi na sio kulalamika bungeni na kugoma.

Yaani baada ya miaka 10 Mdee ndo amejua kuwa Kawe inahitaji heshima?

Heshima gani wakati watu hawana maji kule Ndumbwi?

Heshima gani wakati madaraja hayajaisha huko Boko? Mbezi Beach na Mbezi juu imejaa barabara za vumbi? Heshima gani hiyo?

Heshima gani wakati fedha za mfuko wa jimbo zimetafunwa?

Heshima gani wakati mwakilishi aliyechaguliwa na watu wa Kawe anaongoza migomo bungeni?

Watu wa Kawe wana heshima, ila kwa aliyoyafanya Mdee kwa miaka 10 amewadharau sana.

Watu wa Kawe msirudie makosa haya.
Mmemstahi sana huyu Mdee kwa miaka hii 10.

Safari hii mchague Askofu Gwajima mtu makini anayejua wanachohitaji wananchi wa Kawe.

Ni wakati wa kuachana na longo longo na kuchagua mtu jasiri, hodari, mchapakazi na mpenda maendeleo atakayeishawishi serikali kuleta maendeleo kwenye jimbo la Kawe.

Wanakawe achaneni na Mdee, hajawaheshimu miaka 10 yote hii, ataweza kwa miaka hii mitano (5)?

Mchague Gwajima kwa maendeleo ya Kawe na Magufuli kwa Maendeleo ya Tanzania atunze heshima mliyonayo.

Salum Kipanga
Mbezi - Mtoni,


Maendeleo ya Kawe yataletwa na Gwajima tu hakuna mwingine.
 
nasema wazi kabisa huyu dada alishindwa kabisa kabisa total failure.
 
kawe inahitaji maendeleo sio heshima pathetic banner
 
..maana yake Mh.HALIMA kama mbunge ametekeleza wajibu wake wa kuelekeza na kubainisha fedha za mfuko wa jimbo zielekezwe wapi.

..lakini fedha hizo ni za SERIKALI na hazipitii ktk mikono ya mbunge, bali zinapokelewa na kutunzwa na MKURUGENZI WA HALMASHAURI.
Lakin amejinadi na kujisifia kuwa n yeye amefanya ila anadeni la laki 6 zipo kwake na hazionyeshi amefanyia nin
IMG-20200930-WA0124.jpg
 
V
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO

Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima?

Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam.
Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu muhimu katika taifa. Mabalozi wengi wanakaa jimbo la Kawe.

Vitengo muhimu kwa ustawi wa nchi viko kwenye jimbo la Kawe.

Kwa upande wa makazi pia, maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni, Bunju, Goba, Salasala, Madale yote haya yamejaa watu wa maisha ya kati na juu ambao wana mchango mkubwa katika taifa hili. Haimaanishi watu wengine sio muhimu, kila mtu ni muhimu kwa kiwango chake kulingana na nafasi aliyopo.

Kwa mtazamo huu, jimbo la Kawe tayari lina heshima. Jimbo la Kawe halikutakiwa kuwa jimbo la watu wanaolalamika kwa kukosa huduma muhimu kama barabara za ndani, hospitali na maji. Kawe ina heshima ndio maana wakazi wa huko wamekuwa wastaarabu sana kipindi hiki chote cha miaka 10.

Kwa heshima iliyonayo jimbo la Kawe, mwakilishi wake angekuwa ameweka mbele maslahi ya jimbo lake kwa kutanguliza hoja za wananchi na sio kulalamika bungeni na kugoma.

Yaani baada ya miaka 10 Mdee ndo amejua kuwa Kawe inahitaji heshima?

Heshima gani wakati watu hawana maji kule Ndumbwi?

Heshima gani wakati madaraja hayajaisha huko Boko? Mbezi Beach na Mbezi juu imejaa barabara za vumbi? Heshima gani hiyo?

Heshima gani wakati fedha za mfuko wa jimbo zimetafunwa?

Heshima gani wakati mwakilishi aliyechaguliwa na watu wa Kawe anaongoza migomo bungeni?

Watu wa Kawe wana heshima, ila kwa aliyoyafanya Mdee kwa miaka 10 amewadharau sana.

Watu wa Kawe msirudie makosa haya.
Mmemstahi sana huyu Mdee kwa miaka hii 10.

Safari hii mchague Askofu Gwajima mtu makini anayejua wanachohitaji wananchi wa Kawe.

Ni wakati wa kuachana na longo longo na kuchagua mtu jasiri, hodari, mchapakazi na mpenda maendeleo atakayeishawishi serikali kuleta maendeleo kwenye jimbo la Kawe.

Wanakawe achaneni na Mdee, hajawaheshimu miaka 10 yote hii, ataweza kwa miaka hii mitano (5)?

Mchague Gwajima kwa maendeleo ya Kawe na Magufuli kwa Maendeleo ya Tanzania atunze heshima mliyonayo.

Salum Kipanga
Mbezi - Mtoni,


Hivi buzi lake ni nani? Maana naona umli unaondoka hivyo.
 
Lakin amejinadi na kujisifia kuwa n yeye amefanya ila anadeni la laki 6 zipo kwake na hazionyeshi amefanyia ninView attachment 1594112

..fedha zinatunzwa na ofisi ya mkurugenzi ambaye ni mwana-ccm mwenzenu.

..sasa mnatakiwa mkamhoji kama fedha hizo bado zipo, au amezifisadi.

..Halima ametenda kwasababu bila mbunge na madiwani kuamua fedha za mfuko wa jimbo haziwezi kutolewa.

..Mnyonge mnyongeni HAKI yake mpeni.
 
Nondo mla Watu ,

..Askofu Gwajima aliahidi kumfufua Amina Chifupa.

..Pia aliahidi kununua treni.

..Je, ametekeleza ahadi hizo?
 
haiwezekan kutoka huku kwa Londa mpaka kanisani vumbi tupu hakuna Lami.
hapana kabisa mabesi
 
..fedha zinatunzwa na ofisi ya mkurugenzi ambaye ni mwana-ccm mwenzenu.

..sasa mnatakiwa mkamhoji kama fedha hizo bado zipo, au amezifisadi.

..Halima ametenda kwasababu bila mbunge na madiwani kuamua fedha za mfuko wa jimbo haziwezi kutolewa.

..Mnyonge mnyongeni HAKI yake mpeni.
Ni wazi kuwa yule mama hawezi kutuwakilisha wanakawe tuwe wakweli maana kila nilpokuwa nikifuatilia bunge yeye n kesi tu hata juzi kesi yake imehairishwa sasa mtu kama huyo anatusaidia nin sisi Zaid ya matatizo yake
 
Ni wazi kuwa yule mama hawezi kutuwakilisha wanakawe tuwe wakweli maana kila nilpokuwa nikifuatilia bunge yeye n kesi tu hata juzi kesi yake imehairishwa sasa mtu kama huyo anatusaidia nin sisi Zaid ya matatizo yake

..wanaomzuia asiwawakilishe ni serikali ya ccm na vyombo vyake kama polisi na mahakama.

..msiichague ccm kwani imemhujumu mbunge wenu, na imehujumu maendeleo yenu.
 
..wanaomzuia asiwawakilishe ni serikali ya ccm na vyombo vyake kama polisi na mahakama.

..msiichague ccm kwani imemhujumu mbunge wenu, na imehujumu maendeleo yenu.
Basi tutamchagua huyo ambaye hawez kuzuiliwa na CCM Gwajima
 
Una maana akaandamane na atiwe ndani?
Hatujaona hiyo kazi ya Mdee zaidi ya kuongea na sauti off matusi matusi na kuishia jela.

Mdee hata hapa kazi tu yenyewe haijui!
Ulitaka akupe papa ndiyo ukubali kuwa anapiga kazi?

Mdee hakusanyi kodi, wala siyo kazi yake ni kusema siyo kuleta Maendeleo.
 
Back
Top Bottom