Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Kawe atapita Yusuph Mwenda kwa ccm

Gwajima na wengine watapiga kampeni


Huyo alipokuwa Meya alifanya yepi yakuweza kushawishi watu wampe kura?

Anatakiwa mtu wa misimamo na mfutiliaji king’ang’anizi wa mambo ktk kufuatilia na kushirikiana na serikali ili kuondoa matatizo sugu kama vile migogoro ya ardhi , ukosefu wa huduma za maji n.k na kuleta maendeleo.

Na walau Gwajima ukimuangalia hata kwa mbali anaonekana kuwa mtu wa kaliba hiyo ya ung’ang’anizi wa jambo hadi litokee au lifanyike.

Hatutaki mbunge gentleman ambae anajiweka kwenye ustaarabu tuuuuuu na kusaini Posho tu wa hivyo hapana.

Gwajima anatosha kwa Kawe.
 
Sawa kabisa na mbunge hapo atakayepitia ni Yusuph Mwenda yule diwani wa zamani wa mikocheni na aliyekua meya wa kinondoni

Sent using Jamii Forums mobile app


Huyu sizani kama anaweza kuwa king’ang’anizi katika kufuatilia mambo ili yafanyike jimboni kwake!

Huyu Ndiyo wale wanaobaki kujiweka kwenye ustaarabu tu usio na faida kwa wananchi [emoji108][emoji108]

Tunataka mtu king’ang’anizi ambaye ustaarabu anaweka pembeni wakati wa kazi .

Tunataka mtu asiyemuoga ikibidi hata kwenda kukabiliana na viongozi wakuu wa nchi juu ili kuhakikisha anapata ufumbuzi wa mambo yanayowakabili wananchi wake bila kujifanya mstaarabu machoni pa watu.

Gwajima anaweza hayo!
 
Kungekuwa na uchaguzi hapo sawa, ila sio kwa huu uchaguzi ambao tayari Magufuli kashaagiza nani atangazwe mshindi.
Hapo kawe nani ameshaagiza atangazwe? Kama una ushahidi tuwekee please maana unaonesha unafahamu wote ambao Magufuli ameagiza watangazwe. Tutajie tu wa hapo kawe ili ikitokea akatangazwa tujue ni kweli.
 
Pascal Mayalla Kawe unafahamu kuna wasomi wanaoshawishika kwa hoja bila kujali vyama.
Huko kwingine kama Temeke, Ilala, Kigamboni tatizo si wapiga kura, ili uwe mpigiwa lazima upite mchujo wa hirizi halafu wa chama ndipo ugombee. Ushanfahamu! huendi tu kuchukua fomu!
GT unawaza utupu ktk fikra hai!? Duh ndiyo maana waafrika hatujijui
Majimbo isipokuwa ubungo kawe na kibamba si wenyeji kama hayo mengine
Hata ukonga wengi ni wenyeji wa kabila au ukanda ndiyo maana si kwa wote na segerea ni nusu kwa nusu wenyeji na wagen
Majimbo haya matatu hata kama umetoka ulaya leo unagombea kwa kuwa hawaangalii mtu bali hoja shawishi

Kumbe mtaji wa maskini si nguvu ni akili yake nzuri na timamu
 
Hapo kawe nani ameshaagiza atangazwe? Kama una ushahidi tuwekee please maana unaonesha unafahamu wote ambao Magufuli ameagiza watangazwe. Tutajie tu wa hapo kawe ili ikitokea akatangazwa tujue ni kweli.

Sijui atakayetangazwa, lakini atakayetangazwa ni yule atayebeba na kuunga mkono Magufuli kuongezewa muda wa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10.
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie...

CCM Oye!

Paskali
Uchaguzi 2020 - Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA
 
GT unawaza utupu ktk fikra hai!? Duh ndiyo maana waafrika hatujijui
Majimbo isipokuwa ubungo kawe na kibamba si wenyeji kama hayo mengine
Hata ukonga wengi ni wenyeji wa kabila au ukanda ndiyo maana si kwa wote na segerea ni nusu kwa nusu wenyeji na wagen
Majimbo haya matatu hata kama umetoka ulaya leo unagombea kwa kuwa hawaangalii mtu bali hoja shawishi

Kumbe mtaji wa maskini si nguvu ni akili yake nzuri na timamu


Sasa hapo ndiyo umeandika nini?

Umemuunga mkono alichoandika au umepingana naye?

Maana umeanza kwa kumtoa maana halafu umemalizia kwa kuandika kile alichoandika yeye!

Sasa wewe umebaki kushangaza watu!

Ungeandika kuwa kwa kuongezea siyo jimbo la Kawe tu bali pamoja na huko segerea n.k ingekaa kwa mtitiriko lakini kuanza kumwambia anawaza utupu sijui hivi na vile ndiyo unaona hoja yako itakuwa nzito au?!

So far alichoandika mwenzio ndiyo ukweli huko unakotaja segerea sijui wapi na wapi hao wanarubunika kirahisi huo ndiyo ukweli ambao pengine kwako mchungu!

Angalia hata aina ya wabunge walionao kwa sasa ambao muda umepita ndipo utajua ukweli ulivyo.

Mbunge kwa miaka 5 hajawahi wasilisha hoja ya ku draw attention hata siku moja ?!

Mbunge wa hewala hewala tu !

Tafakari kwa kina!
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie...

CCM Oye!

Paskali
Pascal Nadhani Halima keshashinda, njia ya kulikomboa ni kucheza na kura. Yale ya 2010 na 2015 (Angeja na kippi) pamoja nao ni kati ya 176.
 
'Fikra tupu'. Unaelewa n nini!

Segerea nisome vizur

Sasa hapo ndiyo umeandika nini?

Umemuunga mkono alichoandika au umepingana naye?

Maana umeanza kwa kumtoa maana halafu umemalizia kwa kuandika kile alichoandika yeye!

Sasa wewe umebaki kushangaza watu!

Ungeandika kuwa kwa kuongezea siyo jimbo la Kawe tu bali pamoja na huko segerea n.k ingekaa kwa mtitiriko lakini kuanza kumwambia anawaza utupu sijui hivi na vile ndiyo unaona hoja yako itakuwa nzito au?!

So far alichoandika mwenzio ndiyo ukweli huko unakotaja segerea sijui wapi na wapi hao wanarubunika kirahisi huo ndiyo ukweli ambao pengine kwako mchungu!

Angalia hata aina ya wabunge walionao kwa sasa ambao muda umepita ndipo utajua ukweli ulivyo.

Mbunge kwa miaka 5 hajawahi wasilisha hoja ya ku draw attention hata siku moja ?!

Mbunge wa hewala hewala tu !

Tafakari kwa kina!
Vichwa vyenu havina second thought
 
Back
Top Bottom