Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Pasco bana
Safari hii watu hasa vijana wamehamasika
Kazi ya kuwayupa hao wala sio ngumu,vigezo vyetu vipo wazi tu
 
Atashinda Halima period!
 
Sisi wana Kawe tunakuambia wacha wapoteze muda wao watajijua wenyewe sisi mbunge wetu ni Halima tu full stop! Nimeamini Mdee ni balaa, naomba huyu binti nimwoe potelea mbali hata kama namzidi umri miaka 22 huyu mtoto anatisha yaani midume mizima inaning'iniza mikongojo kwenda kubebwa na Policcm? Mimi Paskali nakwambia Jiwe asitumie mabavu kuamua mshindi wa Kawe kwenye sanduku la kura, hakika Mdee anawangusha tena! Akitumia mabavu atatuua wananchi wa Kawe!
 
Naona unampigia kampeni yusuph mwenda
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Hahahaha, nawaonega makatibu kata karibu wote ,wanaenda kwa jamaa
Huyu Mwenda na Tarimba walijipanga kitambo ,na ilikua waingie toka 2015 -2020 wakaamua kubaki ktk nafasi zao

Naandika hivi nikijua mbinu zao ,Jana usiku tu baadhi ya wajumbe walikua sehemu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halima kurudi bungeni kupitia jimbo la Kawe Safari hii ni majaliwa!

Labda angekuja John Heche lakini kuendelea kumuweka huyo dada itakuwa majaliwa kushinda.

CCM mnategemewa sana kuweka mgombea mahiri wa kazi atakaepiga kazi akishirikiana na serikali ktk kutatua matatizo sugu na kuleta maendeleo jimboni na Taifa kwa hiyo jumla.
 
Wanabodi, hii ngoma ya kunani Kawe, inaanza kurindima asubuhi hii, mimi nitakuwepo kuwaripotia live kutokea ukumbini.
Stay Tuned.
P
 
Wagombea wanavyokuwa wengi ndo hata kushinda kuna kuwa raisi. Yaani ni technic ndogo tu.
 
Usha feli tayari
 
Kweli nipo, kura zimeanza kuhesabiwa, mimi nina kura 0!.
P
Duh ktk tafiti zangu kata zote kumi ,jina lako sikulisikia kabisa lkn hapo mshindi naona Mh Meya wa zamani wa kinondoni anachukua

Ila sio mbaya anko siku nyingine utuone wadau wa hz shughuli za kabla ya upigaji kura ,hahahaha

Maana majina haya yamepita vzr kwa wajumbe mapema tu

Angela kizigha
Yusuph Mwenda
Gwajima
Ben sitaki
Kipi warioba
Furaha
Bulldozer
 
Gwajima hatoboi leo. Hana sifa za kuwawakilisha wana Kawe wenye dini tofauti na wapagani as well. Afterall alishadecare kwamba Ubunge na Uwaziri ni cha mtoto compared na Uchungaji wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…