fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Habari nataka kupita Kawe nasikia kuna panya wameliamsha dude eti wamefunga road ni kweli maana kila nayempigia simu wa maeneo hayo hawanipokelea simu na mimi nataka nipite Ukwamani vipi kuna anayejua tukio hili wazee?