Tetesi: Kawe nasikia kuna panya road wamekiamsha mida ya saa moja

Tetesi: Kawe nasikia kuna panya road wamekiamsha mida ya saa moja

Mliwafukuza machainga na mkaamua kuwapeleka jalalani mfano wale wa Mwanza,hamna biashara kwa nini wasitumie nguvu zao kutafuta pesa!
KWAIYO WW ULISHAWAHI KUSIKIA MM NIPO SERIKALINI AU HATA USHASKIA BWANA @FUNDIBISHOO AMEWAHI KUSHIRIKI KQENYE VIKAO VYA WILAYA AU SERIKALI YA KATA 🤣🤣 MKUU MM NI SAIDIA FUNDI TU NAUNGA UNGA MTAANI SINA JAMBO
 
Back
Top Bottom