Kayoko afungiwe kuchezesha mechi kadhaa

Kayoko afungiwe kuchezesha mechi kadhaa

Hata mtu asiyye na taaluma ya uwamuzi wa mpira anajua kuwa Kayoko ameishindwa kwa makusudi mechi ya Polisi vs Yanga. Ispite hivihivi bila adhabu.
Hao marefa Wana familia zao, wanachezesha bila kulipwa pesa na bodi ya ligi.
Matokeo yake marefa Wana Fanya lolote ili familia zao ziishi
 
Yanga kwa kulalamika just imagine hapo wameshinda wakufungwa sijui ingekuwaje yaani yule nguruwe pori kashawaaminisha kwamba karia anawaonea ni adui yao.
Hata Manara ameyakuta
 
Yanga kwa kulalamika just imagine hapo wameshinda wakufungwa sijui ingekuwaje yaani yule nguruwe pori kashawaaminisha kwamba karia anawaonea ni adui yao.
Yanga wameshindwa kwa kuwa ni Timu kubwa ina kikosi kpana na quality plyers Ila kwa uchezeshaji ule wa Kayoko alikuwa anaelekea kuighaliu Timu bila sababu za Msingi..

Kayoko ni Kocha mzuri Ila kwa Ile mechi alikuwa leakage
 
Yanag wameshindwa kwa kuwa ni Timu kubwa Ina kikosi kpana na quality plyers Ila kwa uchezeshaji ule wa Kayoko alikuwa anaelekea kuighaliu Timu bila sababu za Msingi..

Kayoko ni Kocha mzuri Ila kwa Ile mechi alikuwa leakage
Yanga mechi zote tunashinda kwa tabu sana...yaani waamuzi hawapendi tushinde hata tukishinda zisiwe goli nyingi
Ushahidi huu upo ligi iliyoisha na hata hizi game zetu tulizokwisha cheza hadi sasa ukianzia na ngao

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Yanag wameshindwa kwa kuwa ni Timu kubwa Ina kikosi kpana na quality plyers Ila kwa uchezeshaji ule wa Kayoko alikuwa anaelekea kuighaliu Timu bila sababu za Msingi..

Kayoko ni Kocha mzuri Ila kwa Ile mechi alikuwa leakage
Refa
 
Kakaa kileleni kwa pira fuluvulu na kubebwa mabegani. Hivi umeona mpira gani pale?
Utopolo ni Vinyesi kweli kweli. Mlipewa hadi Penati yule kuku wenu wa Mdondo anayetetemeka akakosa, mlitaka Kayoko awabebe kwa mbeleko ipi????
 
Hata mtu asiyye na taaluma ya uwamuzi wa mpira anajua kuwa Kayoko ameishindwa kwa makusudi mechi ya Polisi vs Yanga. Ispite hivihivi bila adhabu.
Kweli kabisa kama alivyomruhusu kipa adake penalt ya Mayele.... na alipokataa kuruhusu goli mpira ulipogonga mwamba na kurudi uwanjani.... Yaani kayoko afungiwe kabisa maana aliwaambia wachezaji wa Yanga goli 2 ni nyingi sana wapige pasi nyingi na wasiende kufunga...
 
Kweli kabisa kama alivyomruhusu kipa adake penalt ya Mayele.... na alipokataa kuruhusu goli mpira ulipogonga mwamba na kurudi uwanjani.... Yaani kayoko afungiwe kabisa maana aliwaambia wachezaji wa Yanga goli 2 ni nyingi sana wapige pasi nyingi na wasiende kufunga...
Mechi na Geita Gold ilisababisha Hinonga asipewe kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya sana sure boy. Au hujui!!!!
 
Back
Top Bottom