balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Kayoko kocha wa timu gani?Yanga wameshindwa kwa kuwa ni Timu kubwa ina kikosi kpana na quality plyers Ila kwa uchezeshaji ule wa Kayoko alikuwa anaelekea kuighaliu Timu bila sababu za Msingi..
Kayoko ni Kocha mzuri Ila kwa Ile mechi alikuwa leakage