fact mkuuKuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.
Naunga mkono hili sababu moja kuu Kazi anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi, kijeruman nk. Hii itawasaidia hata wachezaji wetu wa kibongo kwenye mawasiliano na kuimarisha viwango vyao.
Kaze ni bonge la tactician...sema alikosa watu wenye weledifact mkuu
Tulia wewe kolo.....sisi ndiyo wataalamSi alikuwepo hapo Yanga. Ilikuwaje mkamtimua huku mkijua anaongea Lugha zote hizo?.
Tatizo ni Lugha, Kushindana na Simba au Uwezo wa kufundisha?
Halafu hapo Yanga si kuna kocha Profesa? Nyie si mlishaachana na Makocha wenye Diploma
WATAALAMU NYIE HA HATulia wewe kolo.....sisi ndiyo wataalam
Walishapatikana hao wenye weledi tangu atimuliwe?Kaze ni bonge la tactician...sema alikosa watu wenye weledi
Kwa hiyo mnaanza kula matapishi mkuuKuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.
Naunga mkono hili sababu moja kuu Kaze anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi, kijeruman nk. Hii itawasaidia hata wachezaji wetu wa kibongo kwenye mawasiliano na kuimarisha viwango vyao.
Tectician mpaka sasa hana ajira yuko benchi?! Uyo ni kocha wa bei rahisi mwenye makaratasiKaze ni bonge la tactician...sema alikosa watu wenye weledi
Yeah kwa sasa wapo pale watu wenye werediKaze ni bonge la tactician...sema alikosa watu wenye weledi
Ni kweli anakuja kuwa kocha msaidizi wa nabi,pia mwinyi zahera,naye kwa pamoja watasaidiana,hadi pale ambapo nabi akimaliza mkataba ataondoka,kinachomponza nabi ni lugha na pia matamshi yake wachezaji hawamwelewi kabisaKuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.
Naunga mkono hili sababu moja kuu Kaze anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi, kijeruman nk. Hii itawasaidia hata wachezaji wetu wa kibongo kwenye mawasiliano na kuimarisha viwango vyao.
Hata aje Tuchel utopolo itabaki kuwa utopoloKuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.
Naunga mkono hili sababu moja kuu Kaze anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi, kijeruman nk. Hii itawasaidia hata wachezaji wetu wa kibongo kwenye mawasiliano na kuimarisha viwango vyao.
Akirudi kama kocha msaidizi atakuwa ni zezeta!! Kama kocha mkuu sawa!Kuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.
Naunga mkono hili sababu moja kuu Kaze anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi, kijeruman nk. Hii itawasaidia hata wachezaji wetu wa kibongo kwenye mawasiliano na kuimarisha viwango vyao.
Bora viongozi wao wanajua kucheza na akili za mashabiki.Bhoo,,baada ya Nabi kutimuliwa tegemea Papa Zahera kupewa mikoba,Bhoo unajua Yanga ni watu wa kukurupuka miaka yote.