Kaze arudi Yanga haraka iwezekanavyo!

Kaze arudi Yanga haraka iwezekanavyo!

Kuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.

Naunga mkono hili sababu moja kuu Kaze anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi, kijeruman nk. Hii itawasaidia hata wachezaji wetu wa kibongo kwenye mawasiliano na kuimarisha viwango vyao.
Bado mtihani upo pale pale, kama Nabi anajua lugha ya kiarabu pekee je Kaze anajua lugha ya kiarabu? Kama hajui kiarabu ina maana bado kutakuwa na ugumu wa mawasiliano kati ya kocha mkuu na kocha msaidizi.
 
Bado mtihani upo pale pale, kama Nabi anajua lugha ya kiarabu pekee je Kaze anajua lugha ya kiarabu? Kama hajui kiarabu ina maana bado kutakuwa na ugumu wa mawasiliano kati ya kocha mkuu na kocha msaidizi.
Nabi anajua kifaransa pia mkuu
 
kaze anakuwa kocha mkuu kesho baada ya mechi ya simba kipigo kitamtoa mwarabu ambaye tayari ana mtafsiri toka congo ambaye itabidi tu atimuliwe sababu kaze kifaransa anajua
 
kaze anakuwa kocha mkuu kesho baada ya mechi ya simba kipigo kitamtoa mwarabu ambaye tayari ana mtafsiri toka congo ambaye itabidi tu atimuliwe sababu kaze kifaransa anajua
Bado Yanga inaendeshwa kisanii mno. Viongozi hawana maono wala hawajui wanahitaji nini na nini wakifanye. Kazi yao kukurupuka na kuendesha timu kwa mihemuko. Huyu Kaze walimtimua na kumuona hafai leo hii anaonekana wa muhimu tena?
 
Back
Top Bottom