Kaze katupachika jina gani wana Yanga?

Kaze katupachika jina gani wana Yanga?

Uta Uta

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2016
Posts
3,740
Reaction score
8,751
Habari wanajamvi?

Kwa siku za karibuni kila kocha akiondoka Yanga huwa anatuacha na jina. Mara tuliitwa wapumbavu, wajinga, hatuna akili, nyani, golira hayo ni baadhi tu ya majina tuliopewa na makocha.

Je, Kaze katuacha na jina gani?
 
Kwani kashapanda ndege? Tuendelee kuwa wavumilivu. Atatoa jina siku anapanda ndege.
 
vipi washamlipa stahiki zake au ndo mpaka nae aende FWIFWA..?
 
Habari wanajamvi?
Kwa siku za karibuni kila kocha akiondoka Yanga huwa anatuacha na jina. Mara tuliitwa wapumbavu, wajinga, hatuna akili, nyani, golira hayo ni baadhi tu ya majina tuliopewa na makocha. Je Kaze katuacha na jina gani?
Acha umbumbumbu wewe!!
 
Wakienyeji
Baada ya miaka 5 yanga itakuwa na a.k.a nyingi sana
 
Fans wa simba ni vilimbukeni sana hii nayo thread jinga sana
 
Back
Top Bottom