Kazi Anayo Mkimbiaji Wetu toka Kigoma

Serikali Impatie hata Bajaji kupunguza machungu ya safari
 
Huyo jamaa naye alikosa kazi ya kufanya.Alijisahau kwamba hii ni bongolala.hatujawai kua serious kwenye jambo lolote,tena kwenye mambo yakujali muda,kanuni na sheria ndo kabisa hatujali.
🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri. Naunga mkono hoja 100% Bongo hatujawahi kuwa serious kwenye jambo lolote lile kama nchi.
 
Yanga wangetumia busara kumkatia tiketi ya ndege kurudi kigoma
 
Bora aogelee mpaka Zanzibar kumaliza hasira zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…