Lakini kazi ya UN ni mkataba wa miaka miwili, so mume akiacha kibarua chake aondoke na mkewe then mkataba ukija kuisha itakuwaje?? Wanarudi kwenye msoto wa kutafuta kazi tena hapa bongo...?
<br />Lakini kazi ya UN ni mkataba wa miaka miwili, so mume akiacha kibarua chake aondoke na mkewe then mkataba ukija kuisha itakuwaje?? Wanarudi kwenye msoto wa kutafuta kazi tena hapa bongo...?
Kwani huyo mumewe ni macho juu sana kiasi anahofia kumwacha abaki TZ atakuta ameshasepa? manake hadi mwanamke anafikiria aachie post aliyopata ili abaki na Husband.. au labda ni uchanga wa ndoa ... mie hata sielewi!
Kwani huyo mumewe ni macho juu sana kiasi anahofia kumwacha abaki TZ atakuta ameshasepa? manake hadi mwanamke anafikiria aachie post aliyopata ili abaki na Husband.. au labda ni uchanga wa ndoa ... mie hata sielewi!
Noted with thanks
Huyo dada apunguze ubinafsi na pia ajue kuwa anaongea na mwanume...wa Mtanzania na Mwafrika!!
1..Aende majuu kumtegemea mwanamke, 100%. Kula, kulala na msalani bure kama mwanamuziki wa Kongo!
2. Aaache kazi yake inayomfanya aonekane kijogoo wa mujini!! (Kama walau ingewezekana kupewa sabbatical leave ningemshauri alitazame vizuri wazo la mkewe!
3. Aende kupigwa pamba na kupewa shule bure na mkewe...pia na pocket money!
Pamoja na watu kuwe kwenye ndoa, ila ukweli ni kwamba wanabaki kuwa watu 2 ambao ni independent!!!
kama uchakachuzi kati ya mume na mke unafanyika mnaishi wote sasa hiyo ya kufikiri eti utachakachuliwa haina msingi. Msingi ni ndoa yenu. Ukiruhusu mbio za kukaa mbali kwenye ndoa basi ujue unakaribusha shetani kuwa kiongozi wa maisha yako. Haya ninayosema hakuna wa kuyaelewa mapaka uone.
Muombe mungu akuongoze kwa hilo.
teh tehe watu wana PHD ila wanakoosa waume nyie mnaleta longo longo! fuata ya hao wasio na waume uone sulba yake!
Itakuwa mgumu nisafiri na mke yeye akafanye kazi mimi nibaki kufanya usafi wa nyumba. Aende tuu hela atakazo kuwa anatuma hizo hizo nitatumia kuwatunza wale ambao hawakusoma kama yeye
Wewe Caro kwani wewe na masters zako saba huna mume??? Nyie ndo mnawapa vichwa hawa wanaume.
Mie mwanaume hanitishi wala hanibabaishi akileta za kuleta nakamata na tupa kuleeeeeeeee
Maisha yanasonga kwani mwanaume amekuwa chakula nikimkosa nakufa wewe taratibu eeehhh
<br />Wewe Caro kwani wewe na masters zako saba huna mume??? Nyie ndo mnawapa vichwa hawa wanaume.<br />
Mie mwanaume hanitishi wala hanibabaishi akileta za kuleta nakamata na tupa kuleeeeeeeee<br />
Maisha yanasonga kwani mwanaume amekuwa chakula nikimkosa nakufa wewe taratibu eeehhh
Hebu nisaidie kuniulizia banaaDema taratibu dea wamekuunzi nini hawa viumbe
Dema taratibu dea wamekuunzi nini hawa viumbe
Hebu nisaidie kuniulizia banaa