Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
"Nadhani baada ya hii, maswali yatapungua kama sio kuisha kabisa...Nafahamu kila mtu anasoma kwa wakati wake pengine hamkuona sababu nilizoelezea kwanini sijatoa waraka mwingine Tar 15 kama nilivyo ahidi.
Sababu ni kuwa mahakama imesema nisizungumzie hilo swala kwasasa, ambapo kesi bado iko mahakamani...Mpaka nitakapopewa ruhusa ya kuzungumza au kutozungumza tena_____ lady jaydee.

Injunction order
An injunction is a court order requiring a person to do or cease doing a specific action.Temporary restraining orders and preliminary injunctions are temporary injunctions. They are issued early in a lawsuit to maintain the status quo by preventing a defendant from becoming insolvent or to stop the defendant from continuing his or her allegedly harmful actions. Choosing whether to grant temporary injunctive relief is a discretionary power of the court. Permanent injunctions are issued as a final judgment in a case. Failure to comply with an injunction may result in being held in contempt of court.
Ni wazi Kusaga na Ruge waliomba zuio la mahakama dhidi ya jyde na wakafanikiwa ndio maana hule waraka tuliotegemea haukutolewa na hili zuio uwenda likadumu kutegemea na mwenenendo wa case yao.
Bila shaka pengine watu wasipate kuhusikia au kuona waraka mwingine kutoka kwa jyde na huu ni mwanzo tuu pengine mahakama ikaweka zuio hata mwisho wa case.
Lakini ni wazi hii case nayo itatupiliwa mbali kama case zingine maana lengo kuu hapa ni kuwapatanisha hakuna njia zaidi ya mahakama.
Pengine lady jaydee akapitia katika kipindi kigumu lakini atashinda.huu ni wakati wake wa kusimama vilivyo maana atakumbana na zaidi ya haya.
__________________________________________________________________________________________________
T.I.D AJITOA KUSHIRIKI SHOW YA LADY JAYDEE
Huku saga la jyde na clouds likiendelea kushika kasi T.I.D ametangaza kujitoa kwenye show ya jyde huku akitoa sababu, pengine ni vyema kuto ingilia maamuzi ya mtu ni wazi kuwa T.I.D ameweka uoga mbele, nilijiuliza kuwa kwani kushiriki kwenye show ya jaydee ni kuwa na chuki na kusaga? hakika wasanii bado mnayo safari ndefu sana.ukiangalia pamoja na sababu zilizo tolewa na T.I.D ni wazi uoga ni sababu kubwa. kwa hiyo T.I.D anataka kusema kushiriki show ya jaydee ni kushiriki ugomvi wake na kina kusaga? kweli hapa na pata picha kwanini lady jaydee alisema yote yale na kwa nini linah na barnaba walijitoa.
hapa tatizo si pesa tatizo ni uoga wa wasanii.

Li
Sababu ni kuwa mahakama imesema nisizungumzie hilo swala kwasasa, ambapo kesi bado iko mahakamani...Mpaka nitakapopewa ruhusa ya kuzungumza au kutozungumza tena_____ lady jaydee.

Injunction order
An injunction is a court order requiring a person to do or cease doing a specific action.Temporary restraining orders and preliminary injunctions are temporary injunctions. They are issued early in a lawsuit to maintain the status quo by preventing a defendant from becoming insolvent or to stop the defendant from continuing his or her allegedly harmful actions. Choosing whether to grant temporary injunctive relief is a discretionary power of the court. Permanent injunctions are issued as a final judgment in a case. Failure to comply with an injunction may result in being held in contempt of court.
Ni wazi Kusaga na Ruge waliomba zuio la mahakama dhidi ya jyde na wakafanikiwa ndio maana hule waraka tuliotegemea haukutolewa na hili zuio uwenda likadumu kutegemea na mwenenendo wa case yao.
Bila shaka pengine watu wasipate kuhusikia au kuona waraka mwingine kutoka kwa jyde na huu ni mwanzo tuu pengine mahakama ikaweka zuio hata mwisho wa case.
Lakini ni wazi hii case nayo itatupiliwa mbali kama case zingine maana lengo kuu hapa ni kuwapatanisha hakuna njia zaidi ya mahakama.
Pengine lady jaydee akapitia katika kipindi kigumu lakini atashinda.huu ni wakati wake wa kusimama vilivyo maana atakumbana na zaidi ya haya.
__________________________________________________________________________________________________
T.I.D AJITOA KUSHIRIKI SHOW YA LADY JAYDEE
Huku saga la jyde na clouds likiendelea kushika kasi T.I.D ametangaza kujitoa kwenye show ya jyde huku akitoa sababu, pengine ni vyema kuto ingilia maamuzi ya mtu ni wazi kuwa T.I.D ameweka uoga mbele, nilijiuliza kuwa kwani kushiriki kwenye show ya jaydee ni kuwa na chuki na kusaga? hakika wasanii bado mnayo safari ndefu sana.ukiangalia pamoja na sababu zilizo tolewa na T.I.D ni wazi uoga ni sababu kubwa. kwa hiyo T.I.D anataka kusema kushiriki show ya jaydee ni kushiriki ugomvi wake na kina kusaga? kweli hapa na pata picha kwanini lady jaydee alisema yote yale na kwa nini linah na barnaba walijitoa.
hapa tatizo si pesa tatizo ni uoga wa wasanii.

Li