Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,882
OK saw a asante kwa kuwa muwaziBinadamu makini katu hawezi kufanya kazi au jambo lolote bila malengo.
Kazi nimeimaliza waungwana na nimeimaliza hasa....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK saw a asante kwa kuwa muwaziBinadamu makini katu hawezi kufanya kazi au jambo lolote bila malengo.
Kazi nimeimaliza waungwana na nimeimaliza hasa....!
Akikujibu unitag...!Ipi?
Labda alikuwa na jukumu la kawaida tu.Angekuwa amekuja kwa jukumu maalumu asingeaga
hahaakuna wale wanaoanzisha uzi wa kutafuta mke/mume, wakishafanikiwa matokeo yake ndo haya
hahaa jf bwana ... mtoa mada ni Me aiseeUmeshapata mume ?
Nami nije??Njoo PM uniambie kazi iliyokuleta JF.
[emoji6] [emoji6]
Labda nami nifanye tafiti humu JF ...!Sawa
nami nakaribia kuimalizaBinadamu makini katu hawezi kufanya kazi au jambo lolote bila malengo.
Kazi nimeimaliza waungwana na nimeimaliza hasa....!
Mmmmh!! Simalizi yote.. ntawaachia wengine nao waambulie !!