kazi ipo tcu mwaka huu!!!

kazi ipo tcu mwaka huu!!!

1}Ud0043, total applicants=1026,eligible=894,1st choice=122,admission capacity=80
2}su004,total applicants=3399,eligible=2896,1st choice=890,admission capacity=220
3}ud002,total applicants=548,eligible=432,1st choice=93,admission capacity 160.
4}ud041,total applicants=1179,eligible=1014,1st choice=256,admission capacity=220.
5}mu007,total applicants=428,eligible=392,1st choice=24,admission capacty=250.
6}mu006,total applicants=1577,eligible=1304,1st choice=216,admission capacity=250.
 
oyaa wakubwa what about vertenary medicene pale sua code ni su021..!! Nasubilia matokeo yenu wakubwa
 
anaweza akawa amefaulu vizuri lakini kwenye ushindani wa waliofaulu vizuri akashindwa pamoja na kwamba yeye aliweka first choice yake kama wengine walivyofanya. mfano kama cut off point ya LLM UDSM itakuwa ni 1.5 na wewe una 1.6 then hiyo kozi umeikosa na wana kupeleka kushindanishwa kwenye choice zako zilizobaki. Labda 2nd choice yako ni LLM UDOM na mtu mwingine alijaza LLM UDOM kama first choice yake wakati ana 1.9, wewe mwenye 1.6 utapewa kipaumbele zaidi pamoja na kwamba haikuwa first choice yako kuliko huyo mwenye 1.9 pamoja na kwamba yeye ilikuwa first choice yake

Samahani nieleweshe hii LLM ni course gani au ulitaka kuandika LLB ukiwa na maana ya Bachelor in Law! maana kwangu LLM in sound kama Master in Law!
 
wewe ndio huna fact kabisa unajua jumla ya applicants tcu wako wangapi? na si cbg na pcb peke yao hapo mi naona umeongea pumba mkubwa!

kijana me naongelea kuhusu course moja ya BVM pale sua siongelei kuhusu applicants wote wa TCU...huwezi niambia watu 4000 wanaweza wote apply course moja hiyo haipo mkuu labda uniambie ulikuwa unamaanisha kitu kingine...nakwambia tena idadi ya watainiwa walio faulu CBG na PCB yote kwa ujumla haifiki 4000
 
kijana me naongelea kuhusu course moja ya BVM pale sua siongelei kuhusu applicants wote wa TCU...huwezi niambia watu 4000 wanaweza wote apply course moja hiyo haipo mkuu labda uniambie ulikuwa unamaanisha kitu kingine...nakwambia tena idadi ya watainiwa walio faulu CBG na PCB yote kwa ujumla haifiki 4000

hata mimi naongelea BVM na kauli yako kwamba watu 4000 hawajafika huo ni uongo na watu hao kuapply iyo kozi inawezekana kabisa ndugu yangu out of 40,000
 
hata mimi naongelea BVM na kauli yako kwamba watu 4000 hawajafika huo ni uongo na watu hao kuapply iyo kozi inawezekana kabisa ndugu yangu out of 40,000

Doctor of Medicine Muhimbili university
the capacity available for this program is 200
up to now 903 applicants have applied
where as 409 are eligible
and out of those eligible 265 have selected it as a first choice

kijana huo ni mfano tu wakitu ninachoongelea mimi...raia 4000 hawawezi kuapply course moja
 
Doctor of Medicine Muhimbili university
the capacity available for this program is 200
up to now 903 applicants have applied
where as 409 are eligible
and out of those eligible 265 have selected it as a first choice

kijana huo ni mfano tu wakitu ninachoongelea mimi...raia 4000 hawawezi kuapply course moja

unashangaa nin sasa hapo,mbona sua kuna kozi imeombwa na watu 3391 na walio eligible ni 2896,1st choice 890,na admission capacity ni 220.
 
Back
Top Bottom