Kazi ipo!!

Kazi ipo!!

Kang

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2008
Posts
5,655
Reaction score
2,506
3139.jpg


1183.jpg
3139.jpg
 
Nabaki bongo, vitu vya hapa ni vya kiasili, natural na havina vichochezi aina yoyote.

Kuku wa kienyeji for life 🙂
 
mh ..kuna vituko duniani .
ila mie nilijiuliza swali iweje mtoto wa miaka 12 apate wazo la kubadili jinsia??
 
mh ..kuna vituko duniani .
ila mie nilijiuliza swali iweje mtoto wa miaka 12 apate wazo la kubadili jinsia??


malezi mabovu... hawa watoto hawapati muda wa kuspend na wazazi na muda mwingi wanaangalia tv, wanapitia site ajabu online....

Matokeo... i think am a girl.... baade ukitaka kuwa dume inakuwaje?

Bongo wazo letu moja tu... i think am gonna be super duper rich...
 
Back
Top Bottom