BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Wakuu!
Nina rafiki yangu amemaliza IFM mwaka jana na alisoma Advanced Diploma in Accountancy. Kwakweli amejaribu kuomba kazi mbalimbali zilizotangazwa bila mafanikio.
Siyo kuwa anajiamini bila ya kuwa na Godfather ila ni kwamba hana kabisa kwa hiyo amekuwa anajaribu kuona kama atafanikiwa.
Mwaka umefika sasa hii July tangia amalize chuo bila dalili ya kazi.
Ninaomba msaada wenu na kama kuna maswali mengine muhimu ya kujibu nitajibu.Tusaidiane
Asanteni!!!
Nina rafiki yangu amemaliza IFM mwaka jana na alisoma Advanced Diploma in Accountancy. Kwakweli amejaribu kuomba kazi mbalimbali zilizotangazwa bila mafanikio.
Siyo kuwa anajiamini bila ya kuwa na Godfather ila ni kwamba hana kabisa kwa hiyo amekuwa anajaribu kuona kama atafanikiwa.
Mwaka umefika sasa hii July tangia amalize chuo bila dalili ya kazi.
Ninaomba msaada wenu na kama kuna maswali mengine muhimu ya kujibu nitajibu.Tusaidiane
Asanteni!!!