Kazi jamani..!!

Kazi jamani..!!

Jamani mkuu usimwambie hivyo huyu mwenzetu,mbona wewe hauko huko mashambani ukilima?,Tumusaidieni huyu ndugu yetu,anahitaji sana msaada wetu

Jephta2003
Ubarikiwe kwa busara zako, mimi mwenyewe kwetu ni mkulima na ninajivunia. Ni kuliacha hilo kama lilivyo la huyo bwana SOA.
Ukisikia chochote kuhusu kazi ya uhasibu tushtuane kupitia hii thread, huyu ni rafiki yangu mpendwa na tunasaidiana kusukuma maisha.
Asante..
 
tuendelee kumtafutia kazi ndg yetu kama alivyotuomba Belinda

Ogah
Ishalaah tumsaidie na uvumilivu ni kitu kizuri japo kigumu sana..Tuhabarishane ukisikia kazi ya uhasibu via hii thread
Asante!
 
Aisee mbona hajakaa sana kwani mimi huu ni mwaka wa nne napeta uswahilini mpaka elimu yangu yote imeyeyuka.......

August_Shao
Yaani umekaa miaka minne hujapata ajira au sijakuelewa vizuri? Na wewe ulijituma kutafuta kazi kwa nguvu zote?
Sasa kipindi hicho chote ulikuwa unafanya nini? yaani kama hukufanikiwa kazi? Kweli pole sana,nimesikitika na kweli umesota ndugu yangu. Je mpaka sasa hujapata kazi?
Asante!
 
Back
Top Bottom