Kazi mgodini (Training program)

Kazi mgodini (Training program)

amatinga@barrick.com au gboersma@barrick.com.....muvuzisha cbv yako pale watakuita...ila IT dept ina majungu sana pale kuna dogo yuko pale na certificate yake ana kazi ya kupiga majungu wenzie tu wanafukuzwa daily ...

Kwani kina Claud Mgombero na yule Seni walishaacha pale IT mkuu,kama wapo si atume moja kwa mmoja wao: cmgombero@barrick.com hizo email ulizompatia ni za watu wa hr hawatanyanyuka wapeleke zile docs kule IT hujidai wako busy full time
 
Ajira tanzania hivi sasa ni kujuana au pesa mpaka uwe na refa ndio upate kazi . Mara nyingi kazi hutangazwa kama kufuata taratibu tu lakini wanakuwa na watu wao ndio maana umeona wote hamkuchaguliwa . Usishangae hata sasa ukaenda tena mambo yakawa vile vile. Hii ndio Tanzania yetu! Kuna mtu yuko home anaambiwa kesho kazini hana shida.
 
Plant ya mwadui ndo ipo kwenye hatua za mwisho kukamilika.cjajua kama wanaitaji wataalamu pale.

Ipi tena maana kuna plant 3 pale zile mbili (jig plant na alamas plant zilisha binafsishwa kwa fisadi mmoja aitwaye Hillary Soud na zinafanyakazi) na ile ya tatu inaitwa Williamson Plant ndiyo inamilikiwa na mgodi wenyewe na ina oparate vilevile,kuna nyingine tena mkuu inajengwa tena?Tujuze mkuu tu apply
 
Back
Top Bottom