Samahani jamani mwenye e-mail addres ya Buzwagi Gold Mine, i wish to go there for I.T.
amatinga@barrick.com au gboersma@barrick.com.....muvuzisha cbv yako pale watakuita...ila IT dept ina majungu sana pale kuna dogo yuko pale na certificate yake ana kazi ya kupiga majungu wenzie tu wanafukuzwa daily ...
mtumie private message(pm)...kila la heri for the coming year!!Samahani mkuu mm ni mgeni hapa jamvini so maana ya ku PM sijui je waweza kunifafanulia?
Plant ya mwadui ndo ipo kwenye hatua za mwisho kukamilika.cjajua kama wanaitaji wataalamu pale.