Kilo 85 ni mwemamba Au sababu ya huo urefu?duh. Nina kilo 85 ila ni mwembamba na mrefu kama Hasheem Thabeet.
Hivi mafaza krismas lazima wawe wanene?
duh. Nina kilo 85 ila ni mwembamba na mrefu kama Hasheem Thabeet.
Hivi mafaza krismas lazima wawe wanene?
Nikija na ndevu kabisa inakua sh ngap..i mean na zi bleach kabisaa
Kama anakilo 85 na nimwembamba atakuwa na undugu na kina goliati.Kilo 85 ni mwemamba Au sababu ya huo urefu?
Uzito wa mtu unachangiwa na uzito wa.mifupa yake.Kilo 85 ni mwemamba Au sababu ya huo urefu?