Kazi na Hadhi

Kazi na Hadhi

Proporis

Member
Joined
Jul 22, 2022
Posts
12
Reaction score
7
Hi JFs'.

kumekuwa na kasumba ya watu au kuwa na hadhi katika jamii kwa sababu ya kazi wanazo zifanya hasa kutokana na elimu waliyo nayo. Kwa mfano daktari ataheshimika tu kwa sababu ni daktari ata kama hatibu wala hana kituo cha kutolea uduma. Rubani anapewa hadhi fulani ata kama hana ajira. Mhasibu ata kama maisha yamempiga lakini bado status yake inambeba.

Je, unapomshauri mtu uzingatie kumshauri asomee kitu kitakacho mpa kazi itakayompa kipato, kazi itakayo mpa hadhi au kazi itakayo mpa vyote??
 
Hi JFs' kumekuwa na kasumba ya watu au kuwa na hadhi katika jamii kwa sababu ya kazi wanazo zifanya hasa kutokana na elimu waliyo nayo. Kwa mfano daktari ataheshimika tu kwa sababu ni daktari ata kama hatibu wala hana kituo cha kutolea uduma. Rubani anapewa hadhi fulani ata kama hana ajira. Mhasibu ata kama maisha yamempiga lakini bado status yake inambeba. Je unapomshauri mtu uzingatie kumshauri asomee kitu kitakacho mpa kazi itakayo mpa kipato au kazi itakayo mpa hadhi au kazi itakayo mpa vyote??
Pesa kwanza,Ukishakua na pesa ndefu hadhi yako itapanda automatically na utaenjoy maisha vzur kuliko msomi asie na chochote kitu
 
Hadhi inategemeana hupo wapi ukiwa bukoba elimu yako haina hadhi pesa ndiyo inakutambulisha lakini dar elimu ina hadhi
 
Muambie akikua atafute hela tu coz ndio solution ya maisha yake
 
Back
Top Bottom