aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??
aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??
huo ni udhalilishaji wakijinsia jamani!aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??
sisi tunaofanya kazi chi ya mtu fulani (boss) mwanaume tunakuwa hatarini sana hasa kama boss anagodoro lake hapo. akikuona unamazoea nae(godoro lake) basi visa havikosi, memo usiseme na hata kufukuzwa kazi muda mwingine. Tufanyeje kuepukana na hilo?
aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??
aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??
Shikamoo dada mkubwa,yani mie leo sina hata raha kila jamvi ninaloingia mwanamke hivi mwanamke vile kila siku majina kibao,aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??
wana wake tunashida maana kila siku majina yanabadilikaaaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??
Hajakosea sana! Kiswahili fasaha ni Godoro chapa mtu!
aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??