Sisi tunaofanya kazi chini ya mtu fulani (boss) mwanaume tunakuwa hatarini sana hasa kama boss anagodoro lake hapo. Akikuona unamazoea nae (godoro lake) basi visa havikosi, memo usiseme na hata kufukuzwa kazi muda mwingine.
Tufanyeje kuepukana na hilo?
Tufanyeje kuepukana na hilo?