Kazi naitaka, Crush naye namtaka. Najiona nipo kwenye Matatizo makubwa

Huyu n manager wa hi kampuni, ni mkuu wangu wa job as they say love is a disease and these who loves deeply as the one who fall sick, I am sick for her I'll take as much time as i can kujenga ukaribu asante kwa hu ushaur.
Ni mkuu wako kumbe

We mtongozee

Unajua kumtongoza mwanamke ni kumheshimisha, kum-verify, unampa blue tick kwamba she's attractive

Kama ameaminiwa mpaka kupewa kitengo anajielewa huyo kama kakuelewa atakubali kam hajakuelewa she'll reject you in a respectful manner
 
Mkuu Ngoja nijivike mabomu yakilipuka ntaleta feedback hapa 😂🙌
 
Inategemea na vipaumbele vyako kama kazi muhimu akili ifanye maamuzi , halafu wanawake wa ofisini hutongozi jenga mazoea mjikute tu mnakulana kimasikhara baada ya hapo.ndio mnajadili mustakabali wa kilichofanyika.

No risk no gain weka rehani tu kazi yako ukifukuzwa basi
 
....na zaidi ajitahidi kum-satisfy madam kwenye kazi kwanza.....coz akishakuwa trusted kwenye kazi hizi social issues huwa zinaenda zenyewe kama kumsukuma mlevi.....
 
Kijana, kazi yako ni muhimu kuliko uhusiano, tatizo umeweka hisia mbele ya kitu ambacho hakitakusaliti, kazi ya mikono yako ndo inakufanya uishi mjini.
Demu akikukataa haimaanishi ni mwisho wa Dunia, ila inamaanisha ni mwanzo wa kujishape wewe kuwa Bora zaidi, unabadilisha Kila kitu, kama unafanya kazi, unafanya kwa bidii na akili, Kila kitu unakifanya Kwa ubora, mademu watavutika kwako,
Women wanapenda high valued men, na kuwa high valued man is a sacrifice.
So jaribu bahati yako ila rejection isiharibu mentality yako, wewe ni Simba sio fisi.
 
Huyo n mke wa mtu kuwa makini watazibua spika halaf mwisho wa siku uje uongeze wale watu wa kataa ndoa kumbe watu wamekuvua uongoz kazin huko
 
Jilipue tu kama umeamua, ila pima kwanza athari kama utazimudu.
 
Dag, nmekupata mkuu
 
This is so deep mkuu,
The last line though 💪
Thanks kwa ushaur
 
Jiendekeze.
 
Kuna viumbe wachache wanafanya Watanzania tutambulike kuwa akili zetu ni ndogo.
Msiwasingizie watu wachache bwana....wee sema tuu kwa ujumla waafrica hatuna akili bwana.
Maendeleo tuwaachie wadhungu...sie tupigage story za mapenzi na ngono tuu
 
Mixing work with pleasure is a recipe for disaster. Lines get blurred when these worlds collide!
 
Ndugu Mteja!
Tunafurahia kukuhudumia, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora
Jina
Namba ya simu
Mkoa
Wilaya
Eneo
Haya yanakuwa majibu ya TANESCO pindi unapotoa taarifa kwao. Na wakati huo huo wanajua kuwa tunatumia fake IDs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…