Mbona hata madaktari wanatukana matusi.Kawaida ya watu zero kichwn hawanaga ustarabu
Sio kwa ubaya lakini, wewe na shabani wa ZAMALADI mwenye nyumba ya ULISI AU HULISI ni ndugu???๐๐Kalibu watu wote wanaofanya kazi ngumu matusi ndo raha Yao wabeba zege mafundi wa nyumba mafundi wa balabala watu wa tanesco wanoweka nguzo kalibu kada zote zinazo Fanya nguzi kutukana ni jambo la kawaida haijalishi kazi inafanyikia wapi iwe kanisani au msikitini
Utafikiri huna unachokijua katika wanayozungumza! Kumbe upo konki fire kila neno unalijua na application yake๐๐Kuna watu wa Tanesco walikuja kurekebisha nguzo home, walikua wanatukanana matusi mazito halafu kwa sauti.. hadi nlikua naona aibu ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Was was wako tuu..shangaz yako hakua na asichokijua hapo ..kila neno na matumiza yale alikua anajua.So yeye labda ndio alipaswa kuona aibu kwako wewe unfortunatelly kumbe na wewe ulikua mkongwe unajua kila kinachoongelewa ๐Nilipita gerezani, pale karibu na keko, nikiwa na shangazi yangu. Tuliwakuta majamaa wanaweka michuma ile ya reli.....aisee hayo matusi sasa, mpaka nilikosa pa kuweka sura yangu mbele ya shangazi. Wanakera sana.
Kuna watu wa Tanesco walikuja kurekebisha nguzo home, walikua wanatukanana matusi mazito halafu kwa sauti.. hadi nlikua naona aibu [emoji2308][emoji2308]
๐คฃ๐คฃ๐คฃ wale wamevurugwa halafu unakuta ni watu wazima kabisa ila hiyo mitusi hasa pale nguzo inapoanza kuingia kwenye shimo ndio utachokaKuna watu wa Tanesco walikuja kurekebisha nguzo home, walikua wanatukanana matusi mazito halafu kwa sauti.. hadi nlikua naona aibu ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Yani kama ulikuwepo hivi๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ wale wamevurugwa halafu unakuta ni watu wazima kabisa ila hiyo mitusi hasa pale nguzo inapoanza kuingia kwenye shimo ndio utachoka
Lakini sasa sio ya kutamka hadharani halafu kwa sauti kila mtu anasikia๐๐Utafikiri huna unachokijua katika wanayozungumza! Kumbe upo konki fire kila neno unalijua na application yake๐๐
Yani we acha tu,,, halafu hawaangalii hata kama kuna watoto jirani wanaweza kuwasikia๐Tanesco shoti zimewakausha ubongo [emoji23][emoji23]
Matusi kwao ndo kiwandani