Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mtu jina lake anaitwa MTUNGU unafkir kuna nini happ tena.Sio kwa ubaya lakini, wewe na shabani wa ZAMALADI mwenye nyumba ya ULISI AU HULISI ni ndugu???๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu jina lake anaitwa MTUNGU unafkir kuna nini happ tena.Sio kwa ubaya lakini, wewe na shabani wa ZAMALADI mwenye nyumba ya ULISI AU HULISI ni ndugu???๐๐
Nawajua mafara sana hao jamaa ๐Yani kama ulikuwepo hivi๐๐๐๐
Mmoja huyo alikua anamwambia mwenzie "hilo shimo sio lazima litanuke sana kama la demu wako""..yaniii๐ฌ๐ฌNawajua mafara sana hao jamaa ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ ๐Mmoja huyo alikua anamwambia mwenzie "hilo shimo sio lazima litanuke sana kama la demu wako""..yaniii๐ฌ๐ฌ
Huna adabuWas was wako tuu..shangaz yako hakua na asichokijua hapo ..kila neno na matumiza yale alikua anajua.So yeye labda ndio alipaswa kuona aibu kwako wewe unfortunatelly kumbe na wewe ulikua mkongwe unajua kila kinachoongelewa ๐
Halafu unakuta wenyewe hawajali wala nini๐, halafu wapo serious kwelikweli๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ ๐
Yaani kwao ni kawaida wanakushangaa wewe unaowashangaa ๐Halafu unakuta wenyewe hawajali wala nini๐, halafu wapo serious kwelikweli๐๐
Weee usiniambie ๐๐๐๐คMbona hata madaktari wanatukana matusi.
Yaniii aibu nlikua naona mimi sio siri ๐๐๐Yaani kwao ni kawaida wanakushangaa wewe unaowashangaa ๐
Samahani mkuu....
Kwani ugumu wa kazi unapimwa na nini??
kuna hawa washindani wa ccm bana yanayaporomosha haswaKaribu watu wote wanaofanya kazi ngumu matusi ndo raha yao.
Wabeba zege, mafundi wa nyumba, mafundi wa barabara, watu wa TANESCO wanaoweka nguzo. Karibia kada zote zinazofanya nguzo kutukana ni jambo la kawaida haijalishi kazi inafanyikia wapi iwe kanisani au msikitini.
Bado nina maswali mengi ya kuuliza, ila basi sawaunapimwa na wingi na ukali wa matusi