Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mtu jina lake anaitwa MTUNGU unafkir kuna nini happ tena.Sio kwa ubaya lakini, wewe na shabani wa ZAMALADI mwenye nyumba ya ULISI AU HULISI ni ndugu???ππ
Nawajua mafara sana hao jamaa πYani kama ulikuwepo hiviππππ
Mmoja huyo alikua anamwambia mwenzie "hilo shimo sio lazima litanuke sana kama la demu wako""..yaniiiπ¬π¬Nawajua mafara sana hao jamaa π
π€£π€£π€£ πMmoja huyo alikua anamwambia mwenzie "hilo shimo sio lazima litanuke sana kama la demu wako""..yaniiiπ¬π¬
Huna adabuWas was wako tuu..shangaz yako hakua na asichokijua hapo ..kila neno na matumiza yale alikua anajua.So yeye labda ndio alipaswa kuona aibu kwako wewe unfortunatelly kumbe na wewe ulikua mkongwe unajua kila kinachoongelewa π
Halafu unakuta wenyewe hawajali wala niniπ, halafu wapo serious kwelikweliπππ€£π€£π€£ π
Yaani kwao ni kawaida wanakushangaa wewe unaowashangaa πHalafu unakuta wenyewe hawajali wala niniπ, halafu wapo serious kwelikweliππ
Weee usiniambie ππππ€Mbona hata madaktari wanatukana matusi.
Yaniii aibu nlikua naona mimi sio siri πππYaani kwao ni kawaida wanakushangaa wewe unaowashangaa π
Samahani mkuu....
Kwani ugumu wa kazi unapimwa na nini??
kuna hawa washindani wa ccm bana yanayaporomosha haswaKaribu watu wote wanaofanya kazi ngumu matusi ndo raha yao.
Wabeba zege, mafundi wa nyumba, mafundi wa barabara, watu wa TANESCO wanaoweka nguzo. Karibia kada zote zinazofanya nguzo kutukana ni jambo la kawaida haijalishi kazi inafanyikia wapi iwe kanisani au msikitini.
Bado nina maswali mengi ya kuuliza, ila basi sawaunapimwa na wingi na ukali wa matusi