joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Freedom of stupidity, wakenya wanaumia, maisha yamekua magumu, watu wanauliwa na polisi, nchi uchumi unasambaratika kwa sababu ya uzembe wa viongozi lakini bado stupid Kenyans wameshikilia "freedom of speaking", hahahaha.Freedom of speech [emoji123][emoji123]
Dah, kwa hapa tz ole wakooo, ole wakooo narudia tena "OLE WAKOOO" Useme kitu kama hiki kwa raisi [emoji23]
Utapata taabu sana
Freedom of speech [emoji123][emoji123]
Dah, kwa hapa tz ole wakooo, ole wakooo narudia tena "OLE WAKOOO" Useme kitu kama hiki kwa raisi [emoji23]
Utapata taabu sana
Wale waTanzania wanaotaka lockdown wasihangaike sanaaa waende tu kenya hapo wakakae huko
Kama hana hayo mapungufu???Kuna Mtanzania mwenye ujasiri was kumuekeza Rais mapungufu yake kinagaubaga hivi?
Hahahaha, nchi yenu inakaribia kuingia katika "civil war", viongozi wenu hawana habari na raia kila mtu anaishi kwa kuangalia tumbo lake, Failed state.Kuna Mtanzania mwenye ujasiri was kumuekeza Rais mapungufu yake kinagaubaga hivi?
Kumuelekeza Rais atoe lockdown, ushasikia Tz tuna hata iyo corona.Kuna Mtanzania mwenye ujasiri was kumuekeza Rais mapungufu yake kinagaubaga hivi?
Angalau ujinga wetu haujafika hadi level ya kumpoteza kiongozi wa nchiKumuelekeza Rais atoe lockdown, ushasikia Tz tuna hata iyo corona.
Bakini hapo hapo na ujinga wenu.
Hatujawahi kuwa na Brainless president kama huyo Mlevi na Mvuta bangi.Kuna Mtanzania mwenye ujasiri was kumuekeza Rais mapungufu yake kinagaubaga hivi?
he died because he did not have a brainHatujawahi kuwa na Brainless president kama huyo Mlevi na Mvuta bangi.