eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
he died because he did not have a brain
So all those who die have no brains.
Nawe siku moja utakufa, kwa hiyo utakuwa huna akili!!?
Usitutoneshe majeraha tuliyo. nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he died because he did not have a brain
Unatumia Tecno hahahahahaFreedom of stupidity, wakenya wanaumia, maisha yamekua magumu, watu wanauliwa na polisi, nchi uchumi unasambaratika kwa sababu ya uzembe wa viongozi lakini bado stupid Kenyans wameshikilia "freedom of speaking", hahahaha.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hata hii sio yangu, ni Simu ya mke wangu nimemuazima, Mimi Simu yangu ni "Itel" ya tochi, sio Smart phone.Unatumia Tecno hahahahaha
Kuna vigagula flani wameanza huo upumbavu eti njia za kisayansi,akina kigwangala yaani najiuliza,mda wote huo ambao tumeishi na Corona Tanzania Hii tilifuata njia gani mpaka tumefanikiwa?Wale waTanzania wanaotaka lockdown wasihangaike sanaaa waende tu kenya hapo wakakae huko
Huko TZ ni either utauwawa ama upotezwe.Thats why I love my country so much.Freedom of SpeechFreedom of speech 💪💪
Dah, kwa hapa tz ole wakooo, ole wakooo narudia tena "OLE WAKOOO" Useme kitu kama hiki kwa raisi 😂
Utapata taabu sana
And now resting in H,,,he died because he did not have a brain