Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 262
- 577
Kazi unayofanya sasa hivi uliiisomea? Au ajira yako ya sasa inaendana na ulichosomea?
Wale mnaofanya kazi ambazo hamjasomea na life linasonga tu basi tumia uzi huu kuwapa vijana tips na moyo kwasababu kuna wimbi la depresssion sasa hivi.
Nb: Ndugu zangu wenye degree fanya chochote cha kukuingizia kipato mambo ya cheti weka lamination uhifadhi kabatini.
Wale mnaofanya kazi ambazo hamjasomea na life linasonga tu basi tumia uzi huu kuwapa vijana tips na moyo kwasababu kuna wimbi la depresssion sasa hivi.
Nb: Ndugu zangu wenye degree fanya chochote cha kukuingizia kipato mambo ya cheti weka lamination uhifadhi kabatini.