Paspii0
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 346
- 522
Habari wanazuoni, Leo Najaribu kutafakari juu ya;
đŸ‘‰Thamani ya mtu inajulikana kwa kiwango cha juhudi na ufanisi wake katika kazi,Pia tabia ya mtu na utu wake inaoneshwa vizuri zaidi kupitia jinsi anavyotekeleza majukumu yake ya kazi.
Mfano hai
1.Swali la kwanza ukweni kijana anaetaka kumposa binti kigori, ataulizwa unafanya kazi gani?
2. Binti anaeolewa,ataulizwa unajishughulisha na nini?
3.Wakati unatafuta nyumba yakupanga Baba au mama mwenye nyumba atauliza unafanya kazi gani?
4. Rafiki zako wautotoni mlipotezana zamani mkikutana swali la kwanza watauliza unamishe gani unafanya kazi wapi?
Take home message: KAZI NI UTU.
VIJANA NA WASICHANA;
đŸ‘‰ Vijana na wasichana wanapaswa kujituma kwa bidii, kuzingatia maadili mema, na kutafuta kipato kwa njia halali. Kuacha tamaa za haraka na kujenga tabia za kazi na juhudi ni muhimu kwa maendeleo binafsi na ya jamii. Kila mmoja wetu ana nafasi ya kuchangia katika kujenga jamii yenye maadili na mafanikio ya kweli.
Mwisho nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, itikieni Kazi naiendeleee
đŸ‘‰Thamani ya mtu inajulikana kwa kiwango cha juhudi na ufanisi wake katika kazi,Pia tabia ya mtu na utu wake inaoneshwa vizuri zaidi kupitia jinsi anavyotekeleza majukumu yake ya kazi.
Mfano hai
1.Swali la kwanza ukweni kijana anaetaka kumposa binti kigori, ataulizwa unafanya kazi gani?
2. Binti anaeolewa,ataulizwa unajishughulisha na nini?
3.Wakati unatafuta nyumba yakupanga Baba au mama mwenye nyumba atauliza unafanya kazi gani?
4. Rafiki zako wautotoni mlipotezana zamani mkikutana swali la kwanza watauliza unamishe gani unafanya kazi wapi?
Take home message: KAZI NI UTU.
VIJANA NA WASICHANA;
đŸ‘‰ Vijana na wasichana wanapaswa kujituma kwa bidii, kuzingatia maadili mema, na kutafuta kipato kwa njia halali. Kuacha tamaa za haraka na kujenga tabia za kazi na juhudi ni muhimu kwa maendeleo binafsi na ya jamii. Kila mmoja wetu ana nafasi ya kuchangia katika kujenga jamii yenye maadili na mafanikio ya kweli.
Mwisho nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, itikieni Kazi naiendeleee