Kazi nyingi za serikali zilipaswa kuwa za mkataba/ajira zisizo za kudumu

Kazi nyingi za serikali zilipaswa kuwa za mkataba/ajira zisizo za kudumu

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hizi kazi zingekuwa za mkataba wa muda mfupi kama miaka mitano mitano zingepunguza gharama na kuongeza ufanisi sana.
1.Ubalozi
2.Mwanasheria mkuu
3.Wakurugenzi wa mashirika ya umma
4.Madaktari
5.Polisi
 
Kuna uhaba mkubwa wa madaktari hasa katika hospitali za vijijini, ukimpa mkataba daktari utaumiza wananchi. Kwa polisi utaongeza uhalifu na uhasama wakirudi mitaani.
 
Kuna uhaba mkubwa wa madaktari hasa katika hospitali za vijijini, ukimpa mkataba daktari utaumiza wananchi. Kwa polisi utaongeza uhalifu na uhasama wakirudi mitaani.
Haufikirii kama polisi wangefanya kazi kwa uadilifu zaidi wangejua wanarudi mtaani baada ya miaka 5, 10 au 15?
 
Hizi kazi zingekuwa za mkataba wa muda mfupi kama miaka mitano mitano zingepunguza gharama na kuongeza ufanisi sana.
1.Ubalozi
2.Mwanasheria mkuu
3.Wakurugenzi wa mashirika ya umma
4.Madaktari
5.Polisi
Too bad hamna serikal dunian public workers wote wanafanya kazi kwa mkataba. Police haifai kabisa klabda wengine
 
Haufikirii kama polisi wangefanya kazi kwa uadilifu zaidi wangejua wanarudi mtaani baada ya miaka 5, 10 au 15?
Uadilifu unaletwa na mkataba? You guys fikirini mbali basi
Uadilifu unaletwa na vifungu na sheria kali kwenye kazi. Eg rushwa or any speculation about rushwa adhabu ni termination with aibu.

South korea wananya hilo, na wamefanikiwa sana, rushwa imekuwa ni shame. Sisem hamna kabisa lakin wamefanikiwa kuifanya rushwa kuwa jambo la aibu. Thus uchapakaz uko juu
 
Too bad hamna serikal dunian public workers wote wanafanya kazi kwa mkataba. Police haifai kabisa klabda wengine
Jielimishe zaidi, zipo nchi mfumo wa kazi ni hivyo.
 
Jielimishe zaidi, zipo nchi mfumo wa kazi ni hivyo.
Zipo but under special condition, japo watumish wa muda mrefu bado wapo, tena haswa kwa polisi, wengi ajira si za muda mfupi

sekta ya ulinzi si ya kuguswa hovyo kabisa.
 
Mental health is real. unampa mtu mafunzo ya silaha na siri za serikali hlf miaka 5 anamuachia akazurure navyo huko kitaa? seriously?
 
Umri wa binadamu una ukomo. Kifo ni jambo la uhakika kwa asilimia mia. Inashangaza sana kuona Serikali ambayo pia ina ukomo inaruhusu ajira za kudumu kwa watumishi wake. Watumishi wote wa Serikali wanapaswa kuajiriwa kwa mkataba na sio hii habari ya ajira za kudumu.
 
Mental health is real. unampa mtu mafunzo ya silaha na siri za serikali hlf miaka 5 anamuachia akazurure navyo huko kitaa? seriously?
Wanaonda JKT kwa mujibu wa sheria baada ya kumaliza kidato cha sita hawapati mafunzo ya bunduki??
 
Umri wa binadamu una ukomo. Kifo ni jambo la uhakika kwa asilimia mia. Inashangaza sana kuona Serikali ambayo pia ina ukomo inaruhusu ajira za kudumu kwa watumishi wake. Watumishi wote wa Serikali wanapaswa kuajiriwa kwa mkataba na sio hii habari ya ajira za kudumu.
Sahihi kabisa, kazi chache sana za serikali ndio zilipaswa kuwa ajira ya kudumu.
 
Back
Top Bottom