imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwasababu Mada ni Trump sijaderail uzi wako hata kidogo ila nilikuwa najaribu kuwakumbusha Washabiki wa Mzee Trump.Katika huu uzi kuna mahali nimezungumzia habari za usenge na wasenge ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu Mada ni Trump sijaderail uzi wako hata kidogo ila nilikuwa najaribu kuwakumbusha Washabiki wa Mzee Trump.Katika huu uzi kuna mahali nimezungumzia habari za usenge na wasenge ?
Mbona huyo Brother mwenye Uzi kajibu na tumeeleweshana.Huna uwezo wa kujibu hata ukiulizwa,
Unaweza kuthibitisha hapa ni nani aliyetaka kumuua Trump?
Najua umeandika kwa msukumo wa chuki ya kidini.
Nilijua tu usingeweza kujibu hilo swali langu.Mbona huyo Brother mwenye Uzi kajibu na tumeeleweshana.
Wewe jamaa unapenda sana Bundasliga za ubishi.Nilijua tu usingeweza kujibu hilo swali langu.
E ndiwooo, ivi kwani kama choo chako kinanuka unafikiri utaweza gundua wewe mwenyewee... hutawezaa ila mtu alie njee anaweza sema jirani choo kinatema. Mfano huo ndio kama wamerekani na uamuzi wao.. in short most of Americans wanaishi kwenye bubble na hivi karibuni wapo kupasukaKwa hiyo wewe wa hapo mwamapalala ndio unaijua marekani zaidi kuliko Trump?
Wewe jamaa unapenda sana kulishwa matakataka na kumeza tu,leta ushahidi hapa kua Ayatullah anahusika na jaribio la kumuua Trump,Wewe jamaa unapenda sana Bundasliga za ubishi.
Hatari DT kazi anayoSoko la Marekani kwa bidhaa za China linachangia 3% tu hata aweke taiffs ya 100% kwa bidhaa zote za China uchumi wa China hautatetereka
Upande wa teknolojia ya kutengeneza chips utawala wa Trump ulijaribu ukashindwa akaja Biden naye kafeli
Wote 2 wameshindwa kuzuia kukua kwa tech ya kutengeneza chips nchini China licha ya vikwazo uchwara
Mpaka sasa China wameshatengeneza DUV lithography machine kwa ajili ya kutengeneza chips
Na tayari kampuni za China kama Huawei na nyingine zimeshajaza patent kwa ajili ye kutengeneza EUV machine ambayo ni kampuni moja tu duniani ASML ya Uholanzi ndio wanatengeneza EUV machine
Level alizofikia China kwa sasa kwenye chip tech Marekani hawezi kumbabaisha
Trump hawezi kutenganisha ukaribu wa Russia na China haya mataifa 2 yameingia mikataba ya umoja na ukaribu katika kila sekta 'no limits relationships'
Ayatolah ana motive ya kumuua Trump kwasababu Trump alimuua General Qasim Sulemani.Wewe jamaa unapenda sana kulishwa matakataka na kumeza tu,leta ushahidi hapa kua Ayatullah anahusika na jaribio la kumuua Trump,
Kwahiyo hii ndio evidence yako ya Ayatullah kuhusika?Ayatolah ana motive ya kumuua Trump kwasababu Trump alimuua General Qasim Sulemani.
Mashoga wana motive ya kumuua Trump kwasababu Trump ni Anti LGBTQ+
Motive anayo Ayatolah ni bora auwawe kama Saddam.Kwahiyo hii ndio evidence yako ya Ayatullah kuhusika?
Unatia aibu aisee.
Huna akili wewe.Motive anayo Ayatolah ni bora auwawe kama Saddam.
Wewe unayeamini Mtu anaweza kupanda Farasi akaenda mbinguni 😆😆😆Huna akili wewe.
Nilijua tu ile comment yako ya kumsema Ayatullah ilikua ni chuki ya udini,na hapa umethibitisha hilo,Wewe unayeamini Mtu anaweza kupanda Farasi akaenda mbinguni 😆😆😆
Ayatolah atauwawa na Donald Trump wewe subiri kidogo.Nilijua tu ile comment yako ya kumsema Ayatullah ilikua ni chuki ya udini,na hapa umethibitisha hilo,
Wewe unayeamini Ushoga ndio haki ya Binadamu.
Wewe utakua Choko sio bure,wazazi wako wana hasara kubwa sana.Ayatolah atauwawa na Donald Trump wewe subiri kidogo.
Mbona unatoka nje ya Hoja wewe njoo na ile ID yako nyingine yenye stara kidogo.Wewe utakua Choko sio bure,wazazi wako wana hasara kubwa sana.
Ndo hivyo USA kuna siku itajikuta inajipa risasi miguuni mwaka dunia aliyoiacha trump si hiii aliyokutana nayo sasaHakuna namna ambayo USA inaweza kukua zaidi au kubakia kuwa superpower bila kuungana kisera (kibiashara na kivita) na Russia, China au Western Europe. USA haiwezi kusimama tena yenyewe. Bahati mbaya sana Trump anaamini USA inaweza kusimama yenyewe. Muda utamfundisha kitu.
Ashukiriwe China kwa kuwa mbadala wa Chips duniani maana bila hivyo maisha yangekuwa magumu sana kwa wahasimu wake kama Iran na uwepo wa brics ndo tena USA anabak kama mbwa kokoSoko la Marekani kwa bidhaa za China linachangia 3% tu hata aweke taiffs ya 100% kwa bidhaa zote za China uchumi wa China hautatetereka
Upande wa teknolojia ya kutengeneza chips utawala wa Trump ulijaribu ukashindwa akaja Biden naye kafeli
Wote 2 wameshindwa kuzuia kukua kwa tech ya kutengeneza chips nchini China licha ya vikwazo uchwara
Mpaka sasa China wameshatengeneza DUV lithography machine kwa ajili ya kutengeneza chips
Na tayari kampuni za China kama Huawei na nyingine zimeshajaza patent kwa ajili ye kutengeneza EUV machine ambayo ni kampuni moja tu duniani ASML ya Uholanzi ndio wanatengeneza EUV machine
Level alizofikia China kwa sasa kwenye chip tech Marekani hawezi kumbabaisha
Trump hawezi kutenganisha ukaribu wa Russia na China haya mataifa 2 yameingia mikataba ya umoja na ukaribu katika kila sekta 'no limits relationships'
Mada gani unayoweza kujadili debe tupu wewe? Hivi hujajishtukia tu kua umegeuka kituko hapa?Mbona unatoka nje ya Hoja wewe njoo na ile ID yako nyingine yenye stara kidogo.