Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Nchi ya maigizoMpaka apige simu juu ndo awawakie.
Muuliza jafo alipokuwa tamisemi, alikuwa anawawakia wakurugenzi kumbe muda huo wanachati na mteuzi.
Majariwa alikuwa anamheshm makonda kuliko mama enzi hzo!
Haa HaaMpaka apige simu juu ndo awawakie.
Muuliza jafo alipokuwa tamisemi, alikuwa anawawakia wakurugenzi kumbe muda huo wanachati na mteuzi.
Majariwa alikuwa anamheshm makonda kuliko mama enzi hzo!
Welldone PM ,but as a country we need more my PM, tunahitaji TAASISI IMARA NA HURU, ili zisaidie kutuletea utawala bora maana Mr Majaliwa ukiondoka uzembe utarudia kule kule kwa sababu kutakua na vacuum, ila taasisi tukiwa nazo.Nimeridhishwa jinsi Waziri Mkuu Majaliwa anavyo simamia watendaji serikali ili wawe mstari unaoeleweka.
Kizuri ni mtu kuchukuliwa hatua pale pale bila kupepesa macho wala kuremba....
Takukuru ndio wamempa PM taarifa ila wao sio wasemaji wa serikali ndio maana wapo kimya behind the scene.Welldone PM ,but as a country we need more my PM,tunahitaji TAASISI IMARA NA HURU,ili zisaidie kutuletea utawala bora maana Mr Majaliwa ukiondoka uzembe utarudia kule kule kwa sababu kutakua na vacuum...
Hamna kitu kama hicho.wangekuwa na taarifa hizo wangewapeleka mahakamani .Tunavyombo ambavyo utendaji kazi wao ni butu sanaTakukuru ndio wamempa PM taarifa ila wao sio wasemaji wa serikali ndio maana wapo kimya behind the scene.
Sawa kwa hiyo PM kawa kachero.Hamna kitu kama hicho.wangekuwa na taarifa hizo wangewapeleka mahakamani .Tunavyombo ambavyo utendaji kazi wao ni butu sana
Awe kachero asiwe kachero, PM hapa kapiga bull.Sawa kwa hiyo PM kawa kachero.
Wewe na huyo dikteta wako ulikwisha tuchokesha kabisa!Nikimuona Majaliwa namuona Jpm..
Shida ni yule mtu pale juu hana ajualo
Niache mimi nibaki na dikteta wangu, na wewe na hiyo mirenda yako!Wewe na huyo dikteta wako ulikwisha tuchokesha kabisa!
Nafasi ya uwaziri mkuu ni utendaji na ufuatiliaji watumishi wa serikali.Wewe na huyo dikteta wako ulikwisha tuchokesha kabisa!