Kazi ya binadamu duniani imeshaisha takriban miaka 445,000 iliyopita

Wasalaam Wana Jf, poleni na mfungo wa Ramadan, na wenzangu wa msalaba, Heri ya Jumatano ya Pasaka, Mwana Kondoo Amefufuka Kwelikweli .....Amina!
Mkuu Baro, bila mihemuko ya vijana wa leo na wale wafia dini, wanaokushangaa kwa andiko/simulizi yako, nasema andiko hili lii sahihi kwa mujibu wa maandiko ya kule Mesopotamia au Sumerian, ama Wasummer. Wale wasomaji wa nakala za kale, hasa ukifuatilia chanzo cha dini ya Kikristo, Uislam, Abrams nk. Utakuta zote dini chanzo chake ni huko Mesopotamia!
Sasa basi, wale walioisoma hadithi hii ya ndg. Baro, wsmeanza kumshushia kashfa bila kufanyia utafiti andiko. Hii ni ajabu yetu sisi Wa
- TZ, ni wepesi kwa domodomo, hasa vijana wa sasa wa memkwa, shule za kata na vile vyuo vifananavyo kwa sifa hizo.
Kikubwa cha kusema kwa Baro ni , maliza viziri simulizi yako, kamilisha kwa kuweka data kamili, taja rejea ya kitabu ulichosoma ama kurasa na mistari yake, taja Sura/Chapter gani nk. Eleza kwa undani, usiwe na haraka. Pia tafsiri yako ni ile ya ndg. Mjanjami " KaziKweliKweli - JobTrueTrue" Toa tafsiri vizuri, la kama huwezi, shusha hadithi hivyo hivyo kama ilivyo, iwe kwa Kisumerian ama Kimesopotamia, ama Kiingereza. Hii watakuelewa. Pungufu ya hapo, watasema ni chai nk.
Kwangu mimi andiko liko sawa sawa kabisa ila liongezewe nyama, lijae, walaji washibe.
Mwisho ungemalizia kwa kuomba endapo kuna Mwana JF mwenye kuongeza fafanuzi zaidi aweke.
Pia kwa wale wepesi wa domodomo, usikimbilie kulaumu ama kudharau, huwenda wewe unajifanya unajua kumbe hujui.
Basi endapo unajua, basi toa mwongozo, njia, ama rejea zake.
Rejea zipo, vitabu vipo, na uhakika upo, yahitaji kusoma ukiwa umetuliza akili na mihemuko, halafu utoke nje ya "BOX" mwulize Kiranga au Nyani Ngabu kwa tafsiri nzuri ya Kiingereza.
Karibuni
 
Maneno meeengi......kumanisha ni uongo mtupu.
 
Mtu anakwambia kabla ya Mungu alikuwepo sijui Lalati na lamuki......huyo mtu habari hizi kazipata kwa nani?

Uongo 100%
 
Asante sana kwa comment Yako

Unaweza kujazia
 
Alla ndio lucifer
 
min -me
 
Dunia haijafikosha hata Miaka 6000 dunia Bado ni mpya sana.

Kabla ya yesu kuja 3000
Baada ya Yesu kuja 2024
JUMLA 5024
Ulikuwepo au na wewe umesimuliwa.

Hii dunia ipo tangu na tangu. Hata hizi stori za waizraeli ni za kutunga.

Mababu zetu weusi wapo hapa duniani miaka zaidi ya milioni imepita.
 
Ebana Ni fresh Sana Mzee wangu,weka neno kwenye hii post
Ulimwengu na una mambo mengi sana ambayo bado hayajawa wazi kwa watu , ila hayo yote mtoa mada aliyoyaongelea kayasoma tu vitabuni , mimi napenda sna vitu hivi mtu avijue kabisa yeye kama yeye kwa sababu hakuna kinachoshindikana kujulikana kama mtu akishajitambua .
 
Hii ndiyo point muhimu

By the way alietengeneza kitu ndie anaekihitaji sasa nashangaa binadamu sijui kwanini mnamuhutaji huyo Mungu! mpaka hapo tunaonyesha tumeshafeli kwenye kumjua tu huyo Mungu!
Lakini pia waweza kuwa umetengeza let say bulb, kwa sababu unahitaji mwanga, so kila bulb ikiigusa unataka iwake, ambayo haitawaka unaitupa. So kila bulb itafanya jitihada kuhakikisha inawaka ili ikufuraishe😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…