Kazi ya bwana tuifanye kwa moyo lakini mmh!!

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Nimecheka halafu hata siwezi kutolea maelezo kicheko changu!!! laaaahaaaullaa!
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Nimecheka halafu hata siwezi kutolea maelezo kicheko changu!!! laaaahaaaullaa!
Acha tu mkuu Kwa Imani hizi Mbingu tutaziona[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umenifanya nianze kumkagua jirani yangu mchungaji ghafla then...
Ahahahah viatu vyake viko kama vya mzee wa kanisa.
 
Umenifanya nianze kumkagua jirani yangu mchungaji ghafla then...
Ahahahah viatu vyake viko kama vya mzee wa kanisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mzee wa Kanisa ni MFUNIKO WA KIKOMBE CHA IKULU.
 
Watu wanaovaaga viatu vya sample ya muombaji huwaga ni wabishi!.....ha ha haa
 
Hicho kiatu cha shemasi kitakuwa kilinunuliwa tangu yupo shule ya msingi[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…