The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Sijawahi kukufuatilia wala sihitaji kukufuatilia,Hamas uko bize unapga spana
uwa unanifuatilia😂😂😂
Aisee! Kumbe. Ndagha fijo.
usije ukanilipua sasa kaka punguza hasiraSijawahi kukufuatilia wala sihitaji kukufuatilia,
Hiyo comment yangu ni kwa wote na sio kwamba wewe ndiye mlengwa,acha kujipaisha.
Niunge kikundi chochote nipige hela maisha magumhSijawahi kukufuatilia wala sihitaji kukufuatilia,
Hiyo comment yangu ni kwa wote na sio kwamba wewe ndiye mlengwa,acha kujipaisha.
Ndayiyo !NdamilavoAisee! Kumbe. Ndagha fijo.
Jibu hilo hapo hakuna majibu tenaMfuko wa Saa
mi huwa sifanyi hayo mambo kwaiyo wanatuona wote wazinziUsalama Kwanza, be ready wakati wowote.
View attachment 3033091
mmhJibu hilo hapo hakuna majibu tena
Wapi upo?Njoo nikuuzie ugoro
Mwanaume uliekamilika lazima ufanye hayo mambo ndio maana kwenye majoho ya mapadre huo mfuko haupomi huwa sifanyi hayo mambo kwaiyo wanatuona wote wazinzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ni cha kuwekea pocket watch? Aisee miaka yote najua ni cha kuwekea coins
Kuhifadhi condom
Haya maswali huwa nayaona Facebook.
TujuzeKuna historia yake ya huo mfuko kwenye jinsi
sasa wwwe ilikuaje ukafungua uzi wa hiviHaya maswali huwa nayaona Facebook.
mimi sijui
polemimi
mimi sijui
Kwa nini nisiufungue?sasa wwwe ilikuaje ukafungua uzi wa hivi
Yaani lengo la uzi ni ili tu useme kale kamsemo ka Facebook kwamba ''nimechoka kujifanya najua''pole