Kwahiyo ni sahihi kula huku unakimbizana na paka!?Paka anashida gani mkuu!
Ni kiumbe kisicho na tatizo wala kero kwa mtu.
Upendo ni hadhina
Ndiyo mkuu wewe unataka paka akale wapi wakati hana ajira wala shamba. Mpatie kipande cha nyama naye aenjoy lifeKwahiyo ni sahihi kula huku unakimbizana na paka!?
Mwenye baa kashatengeneza mazingira ya paka kuishi na kulala nipale suala la kula ni wateja!Wenye bar wawe wanawatengea share yao ya nyama ili wasikere na kusumbua wateja.
Umewatetea paka mpaka nimefurahi, kiukweli paka huwa hawana shida kubwaa kiivyo mpaka wawe kero.Mwenye baa kashatengeneza mazingira ya paka kuishi na kulala nipale suala la kula ni wateja!
Kama hutaki kere chukua chakula na vinywaji katumie ukiwa kwako
NyauPaka pusi
Itakuwa wa BuzaUnaongelea paka wepi hao mkuu?
NdiyoKwahiyo ni sahihi kula huku unakimbizana na paka!?
hazinaPaka anashida gani mkuu!
Ni kiumbe kisicho na tatizo wala kero kwa mtu.
Upendo ni hadhina
Mfugaji anakuwa wapi hadi mimi nianze kulisha paka wake?Ndiyo mkuu wewe unataka paka akale wapi wakati hana ajira wala shamba. Mpatie kipande cha nyama naye aenjoy life
Sasa paka akila nyama ya.kupikwa na binaadamu, hao panya wataliwa na nani sasa!?Ndiyo mkuu wewe unataka paka akale wapi wakati hana ajira wala shamba. Mpatie kipande cha nyama naye aenjoy life