Chombo cha kupeleka mizigo katika anga za juu cha China cha Tianzhou - 4 kimerejea angani. Vipande vingi vya chombo hicho viliteketea wakati wa mchakato huo, huku vipande vichache vikianguka kwenye eneo la kusini la bahari ya Pasifiki kama ilivyopangwa.
Umeme umekatika maeneo ya jilani hapa, utarudi saa 1 usiku... Alafu mtaa mwingine ikifika usiku saa 1 ndo umeme unakatika wanarudisha saa 7 usiku kwa hiyo usiku watu wanakaa bila umeme... Maji hapa mtaani kwangu yana week 2 hayatoki....
HATUNA hata kiwanda cha kuunda DRONE moja hatuna hata kiwanda cha kuunda baiskeli achilia mbali hata cha kutengeneza taa za pikipiki, leo hii haya maroketi na rova za kupeleka huko anga za juu tutawezana nazo? Acha tuendelee kupokea misaada na mikopo kutoka China tutawalipa hela si tunazo..