nani kakwambia? we jaribu kununua ile mipira ya kuzibulia harafu zunguka mtaani kama utakosa wateja watatu kwa siku wa shilingi 50,000! kwa kila mteja kwa mwezi unaweza fanya hizo hesabu.
sema hawa watu wanahitaji kupewa mafunzo ya kuthamini kazi yao na kuishi kutokana na kipato.
achilia hiyo je ulishawahi kuuliza wale wanaochoma vimishikaki njiani wanapata kiasi gani kwa siku na kazi wanaanza saangapi halafu linganisha na laki tisa zako ulizoamka saa kumi alfajiri.