Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,689
Nendeni ulaya muone wanaobeba taka, kuzibua vyoo au kuogesha na kutawaza vibabu wanavyopiga hela.
Watu ikifika jioni wanawasha ma range rover yao wanarudi maskani. Saa hyo unamuona mall utamjua kwani ?? [emoji16][emoji16]
Watu ikifika jioni wanawasha ma range rover yao wanarudi maskani. Saa hyo unamuona mall utamjua kwani ?? [emoji16][emoji16]