Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Wakuu leo tumeshuhudia kampeni zikifungwa rasmi Tanzania nzima.
Wakati akifunga kampeni hizo wilayani Hai,mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Freeman Mbowe alitoa wito kuwa Tanzania ilikuwepo kabla ya CHADEMA na CCM. Haina maana kupigana au kusukumana kwani vyama vitapita ila Tanzania na Watanzania watabaki.
Akihutubia wananchi wa jimbo hilo,aliwataadharisha wananchi hao juu ya ofa ya pombe iliyokuwa ikitolewa na wagombea wa ccm. Hata hivyo kwa pamoja wananchi hao walipaza sauti na kumwambia kuwa 'LEO HATUNYWI' na kumuahidi Mbowe kura zote na kumpatia madiwani wa kutosha.
Mbowe aliweza kupitia zaidi ya maeneo 14 huku akiongozwa na vijana zaidi ya 100 wenye pikipiki na magari kadhaa.
Kama kawaida kila alipowataja wagombea wa ccm umati ulilipuka mayowe ya kuomboleza.
Wakuu huku kaka kashaingia mjengoni, hebu tuelezeni na huko kwenu ilikuwaje?
My take,
Vyama vya siasa ni kazi ya mwanadamu ila Tanzania na Watanzania ni kazi ya Mungu.
Sasa wakati wa kumweka Mungu mbele Tanzania. Mchague Dr. Slaa awe Rais baada ya Nyerere.
By Mbowe Freeman.
Wakati akifunga kampeni hizo wilayani Hai,mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Freeman Mbowe alitoa wito kuwa Tanzania ilikuwepo kabla ya CHADEMA na CCM. Haina maana kupigana au kusukumana kwani vyama vitapita ila Tanzania na Watanzania watabaki.
Akihutubia wananchi wa jimbo hilo,aliwataadharisha wananchi hao juu ya ofa ya pombe iliyokuwa ikitolewa na wagombea wa ccm. Hata hivyo kwa pamoja wananchi hao walipaza sauti na kumwambia kuwa 'LEO HATUNYWI' na kumuahidi Mbowe kura zote na kumpatia madiwani wa kutosha.
Mbowe aliweza kupitia zaidi ya maeneo 14 huku akiongozwa na vijana zaidi ya 100 wenye pikipiki na magari kadhaa.
Kama kawaida kila alipowataja wagombea wa ccm umati ulilipuka mayowe ya kuomboleza.
Wakuu huku kaka kashaingia mjengoni, hebu tuelezeni na huko kwenu ilikuwaje?
My take,
Vyama vya siasa ni kazi ya mwanadamu ila Tanzania na Watanzania ni kazi ya Mungu.
Sasa wakati wa kumweka Mungu mbele Tanzania. Mchague Dr. Slaa awe Rais baada ya Nyerere.
By Mbowe Freeman.