Kazi ya Polisi ni kuwathibiti watu wanaokunywa pombe za machicha wasilete fujo.

Kazi ya Polisi ni kuwathibiti watu wanaokunywa pombe za machicha wasilete fujo.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Kama watu elimu yao ni ndogo,kama watu wakivuta bangi,basi, inevitably wataleta fujo na Polisi ni kazi yao kuhakikisha kwamba inakuwepo law and order.
Kwa sababu ikifika mahali kwamba watu wanaona kwamba hawalindwi ins maana kwamba lazima wajilinde wenyewe. Na watu wakianza kujilinda wenyewe hilo ni jambo ambalo lazima litarudisha nyuma maendeleo.
Kwa sababu itaamanisha hakuna Division of Labour,kila mtu anataka kufanya kazi ya mtu mwingine.
Ni kama mpishi akienda livu na inakubidi upike mwenyewe.
Utaona siku hizi watu wanasema,"Unajisumbua bure,hao polisi nimewaweka mfukoni,usisumbuke kwenda kunishtaki Polisi."
Kwa hiyo Sheria ya kwanza watu waache kuua.
Sheria ya pili watu waache kuiba.
Sheria ya tatu watu waache kuzini.
Sheria ya nne watu waache kusema uongo.
Sheria ya tanu,watu waache ulevi na bangi.
Sheria ya sita lazima iwepo mechanism ya kuyaondoa haya matatizo yanapotokea. Isiwe kwamba makosa yakitokea, yanaendelea kutokea na yanazidi kuwa mengi.
Isiwe kama taka zinaporundikana barabarani kwa ajili hakuna wafagizi.
Kwa hiyo impunity ni tatizo,kama Ile video clip ya jana nilikuwa naona Lissu anaongea.
Sasa mtu mkubwa sijui anaweza kuwa na sababu gani ya kufanya makosa.
Makosa yanafanywa na ignorant,unevolved people.
Kwa hiyo watu waishi vizuri at the grass roots,huku katika level za chini,ili yasitoker matatizo ambayo yatawalazimu kwenda mahakamani.
Sheria ya mwanadamu ni Injili.
Matatizo yetu yote yanatokea kwa sababu watu wanafikiria kwamba ipo Sheria nyingine.
 
Kama watu elimu yao ni ndogo,kama watu wakivuta bangi,basi, inevitably wataleta fujo na Polisi ni kazi yao kuhakikisha kwamba inakuwepo law and order.
Kwa sababu ikifika mahali kwamba watu wanaona kwamba hawalindwi ins maana kwamba lazima wajilinde wenyewe. Na watu wakianza kujilinda wenyewe hilo ni jambo ambalo lazima litarudisha nyuma maendeleo.
Kwa sababu itaamanisha hakuna Division of Labour,kila mtu anataka kufanya kazi ya mtu mwingine.
Ni kama mpishi akienda livu na inakubidi upike mwenyewe.
Utaona siku hizi watu wanasema,"Unajisumbua bure,hao polisi nimewaweka mfukoni,usisumbuke kwenda kunishtaki Polisi."
Kwa hiyo Sheria ya kwanza watu waache kuua.
Sheria ya pili watu waache kuiba.
Sheria ya tatu watu waache kuzini.
Sheria ya nne watu waache kusema uongo.
Sheria ya tanu,watu waache ulevi na bangi.
Sheria ya sita lazima iwepo mechanism ya kuyaondoa haya matatizo yanapotokea. Isiwe kwamba makosa yakitokea, yanaendelea kutokea na yanazidi kuwa mengi.
Isiwe kama taka zinaporundikana barabarani kwa ajili hakuna wafagizi.
Kwa hiyo impunity ni tatizo,kama Ile video clip ya jana nilikuwa naona Lissu anaongea.
Sasa mtu mkubwa sijui anaweza kuwa na sababu gani ya kufanya makosa.
Makosa yanafanywa na ignorant,unevolved people.
Kwa hiyo watu waishi vizuri at the grass roots,huku katika level za chini,ili yasitoker matatizo ambayo yatawalazimu kwenda mahakamani.
Sheria ya mwanadamu ni Injili.
Matatizo yetu yote yanatokea kwa sababu watu wanafikiria kwamba ipo Sheria nyingine.
Mkuu upo smart sana ni vile umezaliwa Africa
 
Siku hizi yapo matatizo.
Watu wanataka kufanya mambo ya laana,mambo ya aibu,mambo ya uchafu.
Sasa,hakuna laana yoyote itatokea,hakuna mambo ya aibu yoyote yatatokea,hakuna uchafu wowote utakaotendeka. Tutatumia nguvu zote kuzuia uovu usitendeke.
Isipokuwa tunasikitika sana kwamba muda mwingi unapotea kwa sababu watu wanakosa basic morality.
Too much time is being spent to curb infantile behavior.
 
Back
Top Bottom