Kazi ya sensa watu wa Arusha vipi?

Kazi ya sensa watu wa Arusha vipi?

Ngoiva

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
235
Reaction score
44
vp wakuu mliopo Arusha mjini hiyo nafasi ya sensa vp, wameshatoa majina.?
 
bado kaka ikiwa tayari tutajuzana stay tuned
 
Tulieni nyie, tutayatoa Jumamosi kuna mambo hayajakamilika!
 
kwenye form si kuna namba zako utapigiwa simu usiogope
 
Usa-river wamelitoa majina jana, vip kuhusu Arusha mjini wakuu?
 
wandugu vp! Hamjatembelea wale jamaa wa sensa. Ebu mtujuze.
 
Majina yameshatoka nendeni manispaa kuangalia
 
jamani madiwani wamechakachua majina. F4 apata degree akosa.
 
Back
Top Bottom