yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,385
Habari wadau naomba kujua kazi ya NEC ni nini?
Je, ni kukata wagombea? Je, ni kuelimisha wagombea jinsi ya kujaza form na kuwapa muongozo? Je, ni kupiga kampeni kichama? Je, ni kudidimiza siasa?
Siwaelewi hawa watu, nilijua wao wawe walimu wa mchakato wa Uchaguzi na ujazaji wa fomu kwa usahihi kwa wagombea kwani wagombea wengi hawana elimu kama siasa ya nchi yetu inavyo sema kuwa mgombea hakuna kiwango cha elimu mgombea anatakiwa kuwa nacho ili awe na sifa ya ugombea lakini wagombea wengi elimu yao ipo chini.
Je, hiyo fomu imeandikwa kwa lugha gani? Je, kwanini pasiwe na fomu ya sample mgombea apewe ajaze akikosea arekebishwe ndio apewe nyingine ambayo ndio ya mwisho?
Kwani kazi ya NEC ni nini?
Je, ni kukata wagombea? Je, ni kuelimisha wagombea jinsi ya kujaza form na kuwapa muongozo? Je, ni kupiga kampeni kichama? Je, ni kudidimiza siasa?
Siwaelewi hawa watu, nilijua wao wawe walimu wa mchakato wa Uchaguzi na ujazaji wa fomu kwa usahihi kwa wagombea kwani wagombea wengi hawana elimu kama siasa ya nchi yetu inavyo sema kuwa mgombea hakuna kiwango cha elimu mgombea anatakiwa kuwa nacho ili awe na sifa ya ugombea lakini wagombea wengi elimu yao ipo chini.
Je, hiyo fomu imeandikwa kwa lugha gani? Je, kwanini pasiwe na fomu ya sample mgombea apewe ajaze akikosea arekebishwe ndio apewe nyingine ambayo ndio ya mwisho?
Kwani kazi ya NEC ni nini?