Junior Nicky
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 608
- 590
NEC imegeuka kuwa baraza la mitihani NECTA..[emoji23][emoji23] Tanzania tuna safari ndefu sana katika kupiga hatua za kimaendeleo na kuleta usawa...CCM wamejaza watu wao kila mahali na kila taasisi lengo na makusudio ni kuhakikisha wao wanabaki madaraka in any means.