Uchaguzi 2020 Kazi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ni nini?

NEC imegeuka kuwa baraza la mitihani NECTA..[emoji23][emoji23] Tanzania tuna safari ndefu sana katika kupiga hatua za kimaendeleo na kuleta usawa...CCM wamejaza watu wao kila mahali na kila taasisi lengo na makusudio ni kuhakikisha wao wanabaki madaraka in any means.
 
Fomu za wagombea wa majimbo na wa viti maalum almost the same cha ajabu fomu za wagombea viti maalum sijasikia hata moja iliyokosewa
 
Kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi - ama kwa wagombea kupita bila kupingwa, ama kufutwa matokeo na kutangaza uchaguzi mwingine, ama kuwawekea mapingamizi wagombea wa upinzani kwa barua feki kama kule Pemba kwa ACT, ama kumtangaza mgombea wa CCM kama mshindi hata kama hakushinda, nk nk.
Kwani kazi ya NEC ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…