LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Kazi ni nzuri hasa kama uliisomea na kupata cheti. Unaomba ajira na unapata kisha unapangiwa shule iliyoko katika halmashauri ambayo hujawahi kufika.
Unaenda kuishi maisha kulingana na eneo hilo. Jamii ya pale itategemea mapya kutoka kwako.
Changamoto ziko nyingi ikiwepo kumezwa na mazingira typically badala ya kuyatawala mazingira, mazingira ndiyo yanakutawala
Unaenda kuishi maisha kulingana na eneo hilo. Jamii ya pale itategemea mapya kutoka kwako.
Changamoto ziko nyingi ikiwepo kumezwa na mazingira typically badala ya kuyatawala mazingira, mazingira ndiyo yanakutawala